20
Mike Tyson aahidi kumkimbiza Paul kama mwizi
Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Marekani Mike Tyson ameweka wazi kuwa sasa yupo tayari kwa pambano lake na Jake Paul linalotarajia kufanyika Novemba 15, 2024 kwenye Uwanja w...
06
Mastaa waliojitokeza kwenye tamasha la Michael Rubin
Mastaa katika Nyanja mbalimbali wamejitokeaza katika tamasha linalofanyika kila mwaka ambalo linaandaliwa na mfanyabiashara mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Fanatics, juk...
16
Jake Paul awajia juu wanaokosoa pambano lake
Jake Paul amewajibu watu wanaosema kuwa Mike Tyson ni "mzee sana" kwa pambano lake, Akizungumza na Babcock kwenye kipindi cha TMZ Sports TV mapema wiki hii, alisema kuwa bondi...
08
Jake Paul na Mike Tyson watazichapa Novemba 15
Baada ya pambano la mabondia wa ngumi za kulipwa nchini Marekani Mike Tyson na Jake Paul kughairishwa kufuatia na tatizo la kiafya alilokuwa nalo Tyson, sasa imepangwa tarehe ...
20
Mauzo ya tiketi za pambano la Jake na Tyson ni kufuru
Imeripotiwa kuwa pambano la ndondi kati ya Jake Paul na Mike Tyson limefanya kufuru katika mauzo yake ya ‘tiketi’ baada ya kupata dola milioni 10 ikiwa ni zaidi ya...
11
Kuona pambano la Tyson na Jake sh 5 bilioni vip
Mabondia wa ngumi za kulipwa kutoka Marekani Mike Tyson na Jake Paul wanaotarajia kuzichapa Julai mwaka huu siku ya jana wametoa bei ya tiketi za VIP ambapo ‘tiketi&rsqu...
09
Mike Tyson ala nyama mbichi kujiandaa na pambano
Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Marekani, Mike Tyson ameweka wazi kuwa kwa sasa anakula nyama mbichi kwa ajili ya kujiandaa na pambano lake dhidi ya Jake Paul linalotarajiwa...
14
Tyson aanza kujifua kwa pambano lijalo
Baada ya kutangaza kuingia ulingoni Julai 20, mwaka huu, bondia wa ngumi za kulipwa kutoka nchini Marekani, Mike Tyson (57) tayari ameingia #Gym kwa ajili ya kuanza mazoezi ya...
08
Mike Tyson kurudi tena ulingoni
Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka nchini Marekani Mike Tyson (58) atarajia kurudi tena ulingoni Julai 20 mwaka huu akizichapa na Jake Paul (27), pambano ambalo litafanyika kat...

Latest Post