06
Ronaldo aweka rekodi mpya, afikisha mabao 900
Staa wa soka dunia Cristiano Ronaldo ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 900. Ronaldo amefikisha idadi hiyo ya mabao baada ya jana kuifungia timu yake ya...
06
Mawaziri kulinogesha tamasha la Faraja Ya Tasnia
Mawaziri watano sambamba na Mshauri wa Rais, Angellah Kairuki na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa wanatarajiwa kushiriki Tamasha la Faraja y...
04
Jux na mpenzi wake kumalizia bata lao Dar
Baada kuchafua mitandao ya kijamii kwa siku kadhaa mwanamuziki Juma Jux na mpenzi wake mpya Priscilla Ajoke raia wa Nigeria wameamua kumalizia bata lao nchini Tanzania.Kufuati...
04
Billnass na Nandy watambulisha mjengo wao mpya
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Nandy amefichua mjengo wao mpya wa kwanza yeye na mumewe Billnass.Kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha video inayoonesha mjengo huo ikiamba...
03
Mahakama yampa siku 21 Mwijaku kuwasilisha utetezi dhidi ya Kipanya
Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imetoa siku 21 kwa mtangazaji wa Crown Media, Burton Mwemba Mwijaku kuwasilisha utete...
03
Chidimma afunguka baada ya kushinda taji Miss Universe Nigeria
Mwanamitindo Chidimma Adetshina amefunguka ya moyoni baada ya kushinda taji la ‘Miss Universe Nigeria’ kwa kuwataka Waafrika kuacha kubaguana wenyewe kwa wenyewe.C...
31
Wafahamu waanzilishi wa Tom and Jerry
Kati ya filamu za animation zilizojizolea umaarufu duniani ni Tom na Jerry iliyoanzishwa na mchoraji wa vibonzo William Hanna, raia wa Marekani aliyesomea uandishi wa habari k...
29
Diamond, Alikiba kutoana jasho tuzo za TMA
Kamati ya uandaaji wa Tuzo za Muziki nchini (TMA) leo Agosti 29 imetangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo katika vipengele vitatu ambavyo ni Mwanamuziki Bora wa Kium...
29
Marioo amtambulisha Stans Ooh kwenye label yake
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Marioo amemtambulisha Stans Ooh kama msanii wa kwanza kwenye lebo yake ya 'Bad Nation'.Msanii huyo ametambulishwa mapema leo Agusti 29, ikiw...
28
Rema apokelewa kwa kishindo kwao
Waswahili wanasema nabii hakubaliki kwao lakini msemo huu umekuwa tofauti kwa mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Rema ambaye amepokelewa kwa kishindo nyumbani kwao katika kijiji...
28
Lil Rod: Diddy na wenzake wananitishia maisha
Siku moja baada ya habari kuvuja kuhusu Diddy kuwasilisha ombi la kufuta kesi ya unyanyasaji wa kijinsia iliyofunguliwa na mtayarishaji Rodney "Lil Rod" Jones, dhidi yake, mta...
27
Illbliss: Burna Boy, Davido na Wizkid ni Ma-Rapa
‘Rapa’ na mwigizaji Tobechukwu Ejiofor, maarufu kama Illbliss, amezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba Burna Boy, Davido, na Wizkid ni ma-r...
27
Ngoma za wasanii wa Universal Music Group kuchezwa WhatsApp
Kampuni ya Meta inayojihusisha na mitandao ya kijamii pamoja na kampuni inayoongoza duniani kwa kutoa burudani ya muziki 'Universal Music Group (UMG)' zimeingia makubaliano ma...
24
Marioo: Turekebishe Iphone Users au tutoe nyingine
Baada ya sakata lake na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kukamilika mwanamuziki Mario amewauliza swali mashabiki kama waurekebishe wimbo wa ‘Iphone Users’ au atoe...

Latest Post