Baada ya ‘klabu’ ya Yanga kuweka bango la ushindi wa bao 5-1 dhidi ya watani wao Simba, na sasa wamerudia kile kile ambapo wametengeneza tena bango la ushindi wa 7...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyonce amempongeza ‘kocha’ wa mpira wa kikapu #DawnStaley kwa kumpa maua baada ya ushindi wake mpya wa kuwa ‘kocha&rsquo...
Ikiwa zimebaki siku chache tuu mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift kuachia album yake ya mpya iitwayo ‘The Tortured Poets Department’, msanii hiyo amep...
Baada ya kutangaza kurudi tena Africa kwa ajili ya kusikiliza album yake iitwayo ‘Velturels’, uongozi wa mwanamuziki Kanye West umetoa taarifa nyingine ikieleza ku...
Tamasha la mwanamuziki Jay-Z liitwalo ‘Made In America Festival’ ambalo hufanyika kila mwaka mwezi Mei jijini Philadelphia nchini Marekani lapigwa chini kwa miaka ...
Mwanamuziki kwa wa Bongo Fleva nchini Harmonize amedai kuwa anataka kuionesha jamii kipaji chake kingine katika upande wa upiganaji (Ndondi).
Kupitia ukurasa wake wa Instagram...
Msimu wa 71 wa shindano la kumpata mlimbwende wa dunia (Miss World) ulianza rasmi Februari 18, 2024, na utaendelea kwa siku 21 na kufikia tamati Machi 9 nchini India.
Washirik...
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani Usher kudaiwa kufunga ndoa, hatimaye mwanamuziki huyo amelithibitisha hilo kwa ku-posti picha zake za harusi akiwa na mkewe Jennife...
Baada ya msanii Harmonize na mpenzi wake Poshy Queen kuonekana wakipata dinner pamoja usiku wa kuamkia leo katika siku ya Wapendanao, wawili hao wamezua sintofahamu kupitia ku...
Baada ya kufanya ‘kolabo’ ya ngoma yake inayotrend kupitia mitandao ya kijamii ya ‘Dah’ na Alikiba mwanamuziki Nandy ameweka wazi kuwa msanii kutoka nc...
Ngoma ya Jux aliyomshirikisha Diamond Platnumz yaingia kwenye listi ya muigizaji kutoka nchini Kenya Lupita Nyong’o ukiwa ni wimbo namba saba kati ya kumi alizo ziorodhe...
Mwanamuziki kutoka nchini #Canada #TheWeeknd atangaza kutoa albumu yake mpya hivi karibuni ingawa bado hajaweka wazi jina la albumu hiyo.
The Weeknd amethibi...
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Qchief ameweka wazi kuwa mwaka huu hataki tena kuwa na tofauti na msanii mwenzake #TID.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa wamekuwa h...
Wanamuziki kutoka nchini #Nigeria Tiwa Savage na Davido wameacha mashabiki wao katika sintofahamu baada ya wawili hao kufuta urafiki kwenye mtandao wa Instagram huku sababu ya...