14
Mr P aukubali wimbo wa Marioo
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Peter Koye maarufu kama #MrP ambaye ni mmoja katika kundi la #PSquare ameonesha kuvutiwa na wimbo mpya wa #Marioo ‘Hakuna Matata&rsquo...
13
Tyrese amkumbuka Paul Walker
Mwigizaji na mwanamuziki wa R&B kutoka nchini Marekani Tyrese Gibson ameoneka kumkumbuka sana marehemu mwigizaji Paul Walker, hii ni baada ya kuangua kilio wakati alipolio...
11
Utafiti: Mitoko ya usiku kwa wanaume inapunguza matatizo ya afya ya akili
Kwa mujibu wa utafiti wa mwanansaikolojia kutoka Chuo Kikuu cha Oxford Dk. Robin Dunbar, unaeleza kuwa mitoko ya usiku ya wanaume ...
07
Simba na Yanga kukiwasha april 20
Bodi ya ligi kuu Tanzania bara (TPLB) imetoa tarehe ya mchezo kati ya ‘klabu’ ya #Yanga na #Simba ambapo ‘mechi’ itachezwa siku ya tarehe 20 mwezi Apri...
02
Umuhimu wa kuchukua likizo kazini
Na Aisha Lungato Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2008 kifungu namba 31 ibara (1) imeeleza kuwa Mwajiri atatakiwa kutoa likizo kwa mfanyakazi angalau...
27
Utafiti: Wafanyakazi wanaoenda likizo wananafasi kubwa ya kupandishwa cheo
Kwa mujibu wa Utafiti uliofanyiwa na ‘Florida State University’ miaka saba iliyopita unaeleza kuwa wafanyakazi wanaoen...
08
Pochi nyepesi zaidi duniani yazinduliwa
Chapa maarufu kutoka Paris ‘Fashion house Coperni’ imeripotiwa kutengeneza pochi nyepesi zaidi duniani ambayo inauzito wa gramu 33, iliyooneshwa kwa mara ya kwanza...
18
Mourinho anukia Bayern Munich
‘Kocha’ wa zamani wa ‘klabu’ ya #ASRoma, #Chelsea na #ManchesterUnited, #JoseMourinho anadaiwa kuwa kwenye mpango wa kuifundisha ‘klabu’ ya...
16
Miwani kwa Tiwa siyo fashion, ni matatizo
Baada ya baadhi ya mashabiki kudadisi kuhusiana na uvaaji wa miwani kwa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage, hatimaye mwanamuziki huyo ametoa sababu ya kwanini huvaa...
14
Davido akitumbuiza kwenye birthday ya Depay
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Davido, alikuwa mmoja wa wasanii ambao walihudhuria katika sherehe ya siku ya kuzaliwa ya mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Uholanzi...
18
Kampuni ya Apple yaupiga mwingi
Kwa mara ya kwanza Kampuni ya Apple inayojihusisha na utengenezaji wa vifaa vya mawasilia imeshika nafasi ya kwanza kuwa mtengenezaji mkubwa wa simu za mkononi duniani kwa mwa...
17
De Rossi amerithi kiti cha Mourinho
Baada ya ‘klabu’ ya ASRoma kumtimua aliyekuwa ‘kocha’ wa ‘timu’ hiyo Jose Mourinho, sasa ‘klabu’ hiyo imethibitisha kumteuwa ki...
15
Mambo ya kuzingatia unapotaka kuweka dreadlocks
Hellow!! vipenzi vyangu kama kawaida yangu lazima tukutane kwenye segment yetu pendwa ya Fashion ili kujuzana mambo mbalimbali kuhusu urembo na style tofauti tofauti za ndani ...
11
Mwanasoka wa zamani adai ana mwaka mmoja wa kuishi
‘Meneja’ wa zamani wa ‘timu’ ya taifa ya Uingereza, Sven-Göran Eriksson ameweka wazi kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani huku akidai kuwa amebakiza...

Latest Post