31
Hoteli yatakiwa kutoa ushahidi kesi ya Diddy
Mamlaka ya shirikisho yanayomchunguza Diddy imeweka wazi kuwa huenda kuna uwezekano wa kumpatia kesi ya jinai ‘rapa’ huyo huku mamlaka hiyo ikitoa wito kwa hoteli ...
28
Lil Rod: Diddy na wenzake wananitishia maisha
Siku moja baada ya habari kuvuja kuhusu Diddy kuwasilisha ombi la kufuta kesi ya unyanyasaji wa kijinsia iliyofunguliwa na mtayarishaji Rodney "Lil Rod" Jones, dhidi yake, mta...
27
Diddy akanusha tuhuma zinazomkabili
Mkali wa hip-hop kutoka Marekani Diddy amekanusha tuhuma zote zilizotolewa na aliyekuwa producer wake Rodney “Lil Rod” Jones akidai kuwa producer huyo alizitoa kwa...
23
Diddy anamchango wake kwenye mtandao wa X
Mkali wa Hip-hop Marekani Diddy ametajwa kuwa ni mmoja wa wawekezaji waliomsaidia Elon Musk kununua mtandao wa X (zamani twitter) mwaka 2022.Kwa mujibu wa tovuti ya Tmz imeele...
20
Diddy mbioni kufunguliwa kesi ya jinai
‘Rapa’ Sean “Diddy” Combs huenda akafunguliwa kesi ya jinai na mwanadada Adria English. Kwa mujibu wa timu ya wanasheria wa mwanadada huyo imedai kuwa ...
09
Yung Miami aegemea upande wa Diddy
Rapa Yung Miami ambaye pia ni mpenzi wa zamani wa Diddy amedai kuwa wakati yupo na Combs hakuwahi kufanyiwa ukatili wowote.Yung ameyasema hayo baada ya kuwa na mijadala mingi ...
30
Diddy kuchunguzwa na familia ya Tupac
Baada ya kuandamwa na kesi takribani nane kuhusiana na unyanyasaji wa kingono, mkali wa Hip-hop wa Marekani Diddy ameripotiwa kufanyiwa uchunguzi na familia ya Marehemu Tupac....
04
Diddy auza nyumba yake ya Los Angeles
Mfanyabiashara na mkali wa Hip-hop Marekani Diddy Combs ameripotiwa kuuza jumba lake la kifahari lililopo jijini Los Angles kwa dola milioni 70 ikiwa ni sawa na Sh 185.8 bilio...
02
Diddy akifurahia maisha Wyoming
Wakati baadhi ya wadau wakisubiria mkali wa Hip-hop Diddy akamatwe kufuatia na shutuma zinazomkabili za unyanyasaji wa kingono, sasa msanii huyo ameonekana akiendelea kufurahi...
29
Miami Beach yafuta Sean Diddy Combs Day
Uongozi wa Miami Beach umeondoa siku maalumu ya ‘rapa’ Diddy ambayo ilizinduliwa kwa mara ya kwanza Oktoba 13, 2016, huku sababu ikitajwa ni kufuatia na video ya C...
21
Diddy afuta posti zote Instagram
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy Combs ameripotiwa kusafisha ukurasa wake wa Instagram kwa kufuta posti zote alizowahi ku-share kwenye mtandao huo ikiwemo video yake ya ...
11
Suge Knight adai Diddy ni FBI
Mwanzilishi mwenza wa rekodi lebo ya ‘Death Row Records’ kutoka Marekani Suge Knight, ambaye kwa sasa anatumikia kifungo cha miaka 28 jela amedai kuwa mkali wa Hip...
08
Chuo chabatilisha shahada ya Diddy
Chuo Kikuu cha Howard kilichopo Washington, D.C siku ya jana Ijumaa Juni 7, 2024 kilitangaza kuwa bodi yake ya nidhamu imebatilisha shahada ya heshima aliyopewa mkali wa Hip h...
30
Mambo magumu kwa Diddy ashindwa kuhudhuria mahafali ya binti yake
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kuwa hatokuwepo kwenye mahafari ya binti yake itwaye Chance (17) huku wadau wakieleza kuwa hatohudhuria katika sherehe hiyo ...

Latest Post