27
Hamisa ageuka mwalimu kwa Aziz Ki
Ni wazi kuwa mwanamitindo Hamisa Mobetto amegeuka mwalimu wa lugha kwa mumewe Stephanie Azizi Ki. Hiyo ni baada ya nyota huyo wa soka kuweka wazi kuwa amekuwa akifundishwa kis...
02
Burna Boy awaunganisha Sautsol Kenya
Usiku wa kuamkia leo supastaa wa Nigeria, Burna Boy amefanya onyesho la muziki ambalo limeacha historia katika mji wa Nairobi nchini Kenya. Tamasha hilo ambalo lilitawaliwa na...
23
Leornado Atamba baada ya kushinda tuzo Mchekeshaji bora wa mwaka
LEORNADO ATAMBA BAADA YA KUSHINDA TUZO Baada ya mchekeshaji Leornado kushinda tuzo ya 'Overall Best Comedian of the year' kupitia tuzo za Tanzania Comedy Award, ambazo zilitol...
20
The Godson Ya Marioo Imeshindikana
Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
27
Darassa kuja na albamu Take Away The Pain
Mwanamuziki Darassa 'Mr Burudani' ametangaza ujio wa albamu yake mpya itakayoitwa Take Away The Pain.Albamu hiyo ambayo inatarajia kuachiwa rasmi Februari 7, 2025 ikiwa imebeb...
23
Fahamu haya kuhusu Mwanamuziki Darassa
Kwa zaidi ya miaka 10 Darassa amefanya muziki tofauti kabisa na rapa wenzake, uwezo wake wa kuchanganya vionjo na utunzi wa aina yake umefanya nyimbo zake kupendwa na watu wen...
29
Darassa amvulia kofia Marioo
Mwanamuziki anayetamba na ngoma ya ‘My Time’ Darassa amempa Marioo maua yake kufuatia na album yake iitwayo ‘The God Son’ inayotarajiwa kuachiwa leo No...
13
Rasmi Platform asaini mkataba na Abbah
Oooooh! Yaani bongo kumechachuka hatari, ni back to back, mtayarishaji wa muziki wa #BongoFleva Abbah rasmi amemsaini mkali wa muziki, Platform kwenye ‘lebo&rs...
03
Darassa amtambulisha msanii wake mpya
Msanii wa Hip hop Darassa amemtambulisha rasmi msanii wake wa kwanza kutoka katika label yake ya Cmg lookatusnow anayeitwa Sani boy. Hata hivyo Sani boy ambaye tayari ameachia...
13
UNAIKUMBUKA MAISHA NA MUZIKI YA DARASSA
Niaje mwanangu mwenyewe wa MwananchiScoop, hope huko poua kabisa na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku. Leo kwenye Throw Back Thursday (TBT) tupo na mnyamwezi ambae...

Latest Post