Mkurugenzi wa Kampuni ya Look inayoendesha mashindano ya kumsaka Miss Tanzania, Basila Mwanukuzi amesema Miss Tanzania 2023, Tracy Nabukeera hajajitoa kushiriki Miss World 202...
Mwigizaji Chuchu Hancy amekanusha taarifa zinazoendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai amefariki dunia.Taarifa ya Chuchu kufariki ilichapishwa na mtumiaji wa mtan...
Aiseee! Hapana hii sasa imekuwa ‘tuu machi’ kwa wasanii wetu. Hivi hawa wamerogwa wajiimbie mapenzi tu? Wamerogwa wacheze tamthiliya na filamu za mapenzi tu? Wamer...
Majina ya mwanamuziki Jay Z na mke wake Beyonce yameondolewa katika kesi ya Diddy ambayo imefunguliwa mapema mwezi huu, kesi ambayo inahusiana na usafirishaji haramu wa binada...
Baada ya kufanya balaa kubwa nchini Tanzania katika harusi yao na sasa kumeanza kuchangamka nchini Nigeria kufuatia na muendelezo wa shughuli ya mwanamuziki Jux na mpenzi wake...
Imeripotiwa kuwa hali si shwari kwa wanamuziki kutoka Marekani Kanye West na Taylor Swift baada ya timu ya Swift kudaiwa kuwa na mpango wa kumshitaki Ye.Hivi karibuni, Taylor ...
Aliyekuwa mke wa Haji Manara, Zaiylissa amefunguka kwa mara ya kwanza huku akiweka wazi kwasasa hayupo kwenye ndoa na ameamua kupumzika kwanza.Zai ameyasema hayo mapema leo Ap...
Ni miezi sita sasa bila Alikiba kutoa wimbo mpya lakini sio jambo ngeni bali ni utamaduni wake kwa miaka nenda rudi, ni mara kadhaa amewahi kujipa mapumziko na baadaye ujio wa...
Peter AkaroMkali wa Afrobeats kutokea Nigeria, Davido amefunguka kuhusu nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mkewe Chioma katika maisha yake binafsi na kazi yake ya muziki na ku...
Rapa kutoka Marekani ameeleza kuwa mwanamuziki Chris Brown kama asingemfanyia vurugu na kuwafanya mashabiki wamchukie kwa kitendo chake basi angekuwa katika kiwango ambacho al...
Kama ni shabiki kindaki ndaki wa msanii Marioo utagundua kuwa wakati alipokuwa akianza muziki alijulikana kupitia ngoma zake za kuumizwa na mapenzi nyimbo ambazo anazifanya kw...
Mwanzoni mwa wiki hii msanii wa Afrobeat kutokea nchini Nigeria, Wurld alichapisha video kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonesha yupo studio na wakali wa Bongo Fleva, Mar...
Hali ya mwigizaji maarufu kutoka Marekani Bruce Willis inazidi kuwa mbaya baada ya kuripotiwa kupoteza mawasiliano kabisa kufuatia na ugonjwa unaomsumbua wa Frontotemporal Dem...
Mwigizaji na mfanyabiashara Shamsa Ford amemtaka aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara asichoke kuoa kwani amekuwa msaada mkubwa kwa wanawake anaofunga nao ndoa.Inawezekana ...