12
Jay Melody alivyopenya katika msitu mnene kimuziki!
Staa wa Bongo Fleva, Jay Melody ni miongoni mwa wasanii waliofanya vizuri zaidi katikati kipindi cha miaka miwili iliyopita, hiyo ni baada ya ujio wake mpya wa tangu Januari 2...
27
Nyoshi El Saadat ataka bongo fleva waimbe live
Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi, anayemiliki bendi ya Bogoss Musica, Nyoshi El Saadat amewashauri wasanii wa Bongo Fleva kujikita zaidi katika kuimba muziki wa mubashara ...
06
Rayvanny atoa shukrani kwa mastaa Paris
Akiwa anaendelea na ziara yake kwa ajili ya kufanya kazi na wasanii mbalimbali, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny ametoa shukurani zake za dhati kwa wasanii kutoka katika m...
21
Bushoke: Zuchu namba moja 2023
Mwanamuziki wa bongo fleva, Ruta Bushoke amemtaja  msanii wa kike, Zuhura Othoman 'Zuchu' kwamba alikuwa namba moja kwa kufanya kazi bora mwaka 2023. Bushoke ametoa sabab...
23
Sho Madjozi akosoa bongo fleva ya sasa
Msanii wa muziki kutoka nchini Afrika Kusini, Sho Madjozi, amesema asili ya muziki wa Tanzania umepotea hivyo anatamani kuona bongo fleva ya kitambo katika usasa.Amesema aliku...
07
Rais wa kitaa na Messi wa bongo fleva wanajambo lao
Mwanamuziki wa Hip-Hop Nay Wa Mitego na Rich Mvoko, wanatarajia kuachia ngoma yao hivi karibuni, itakayoenda kwa jina la #SioWewe, Nay amedhihirisha ujio wa ngpma hiyo kupitia...
25
Safari ya Xouh, Kutoka kuuza duka mpaka kutusua kwenye bongo fleva
Leo tupo na binti mwenye kipaji kikubwa kwenye upande wa muziki wa Bongo Fleva, si mwingine bali ni Zulfa Mohamed Ibrahim, na jina lake maarufu ni Xouh, wengi walimfahamu kupi...
24
Sho Madjozi atoa funzo kwa wanamuziki wa Tanzania
Mwanamuziki #ShomaDjozi amefunguka kuwa wasanii wa Afrika Kusini wana sample nyimbo zao za zamani ili kutoa muziki mzuri wakisasa Amapiano, lakini kwa wasanii wa Tanzania hawa...
11
Lady Jaydee kutoa msaada wa masomo kwa watu watano
Msanii wa Bongo Fleva Lady Jaydee ametoa nafasi tano za ufadhili wa masomo kwa ngazi ya chuo kwa watu ambao wazazi au walezi wao hawana uwezo wa kumudu gharama za kulipia ada....
01
Mwanamuziki Haitham afariki dunia
 Mwanamuziki wa Bongo Fleva Haitham Kim, ambaye siku chache zilizopita mume wake alithibitisha kuwa mwanamuziki huyo yupo ICU akisumbuliwa na ugonjwa wa mapafu amefariki ...
06
Zuchu: Msizichukulie poa team za soccer
Mwanamuziki #zuchu ametaoa angalizo kwa wasanii wanaopata nafasi ya kutumbuiza kwenye matamasha ya 'timu' za mpira wa miguu Tanzania kutochukulia poa nafasi hizo na kufanya kw...
02
P Cancelo akubali wimbo wa Marioo
Mchezaji kutoa ‘klabu’ ya Manchester City, #João Cancelo kupita #InstaStory yake ame-share wimbo wa msanii #Marioo_tz  #MiAmor. Hii inadhihilisha kuwa ...
18
Lazima hiphop iwe na beef kama Bongo Fleva
Baada ya kuwepo na ushindani katika muziki wa bongo fleva kumekuwa na maoni ya watu wengi kuwa ushindani huo uhamie katika #HipHop na mashabiki watoe ushirikiano kama wanavyos...
27
Izzo B amewataka wasanii kufanya muziki bora sio kiki
Ebanaee!! Mambo ni mengi muda mchache wanetu basi bwana tasnia ya muziki huu wa kizazi kipya (Bongo fleva) kumekuwa na mtindo ili msanii atoke au afanikiwe basi afanye jambo k...

Latest Post