Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyonce amempongeza ‘kocha’ wa mpira wa kikapu #DawnStaley kwa kumpa maua baada ya ushindi wake mpya wa kuwa ‘kocha&rsquo...
DIDDY AONEKANA AKILA BATA NA MABINTI ZAKEBaada ya kushutumiwa na kufunguliwa mashitaka dhidi ya kesi za unyanyasaji wa kingono huku kutojulikana alipo na sasa mwanamuziki Didd...
Ikiwa yamebaki masaa machache kuelekea mchezo wa mwisho wa kundi F kupitia michuano ya #Afcon unaotarajiwa kuchezwa kesho kati ya Congo dhidi ya Tanzania wanamuziki Diamond na...
Achana na wale ‘wanaofeki’ wenye kutumia pesa nyingi kwa ajili ya kununua ‘maroboti’ kwenye mitandao ya kuuzia muziki ili kazi zao zionekane zimepata w...
Kama ilivyo kawaida kwa watu maarufu, mwisho wa mwaka kuachia list ya ngoma, vitabu na filamu zilizowakosha kwa mwaka huo, aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama ameachia mke...
Meli kubwa zaidi duniani ya kitalii iitwayo "Icon of the Seas" inatarajia kuanza safari Januari 27, 2024, kutoka PortMiami nchini Marekani, na itaanza kwa ziara ya siku saba y...
Mwanamuziki Diamondplatnumz akimkabidhi msanii mpya wa WCB D Voice cheni mpya yenye mchanganyiko wa madini iliyotengenezwa kwa muundo wa nembo ya WCB huku akimtaka msanii kuto...
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, Davido kupitia mtandao wake X amewapa onyo wanaosambaza picha zake za zamani mtandaoni zikimuonesha akiwa na mkewe hospitali.
Picha hizo zi...
Penzi la #Paula na #Marioo limeonekana kuendelea kunoga hadi kupelekea wawili hao kushindwa kuficha hisia zao.
Licha ya kuwa na maneno mengi kutoka kwa baadhi ya w...
Ukisikia kujipata basi Hamisa Mobetto amejipata haswa, usiku wa kuamkia leo mrembo huyo amefanya party nchini China akiwa na mpenzi wake mpya anayefahamika kama Kevin Sowax.Am...
Mwanamume mmoja kutoka nchini California aliefahamika kwa jina la Casey Rivara amefariki baada ya kugongwa na gari ambapo alionekana akisaidia bata kuvuka barabara muda mfupi ...
Alright my traveling and adventure peeps. Ni wiki nyingine tena tunakutana hapa katika segment ya BATA BATANI. Basi bwana, wiki hii nipo nchini Jordan, sehemu inaitwa PETRA.
P...