18
Beyonce ampongeza kocha Dawn
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyonce amempongeza ‘kocha’ wa mpira wa kikapu #DawnStaley kwa kumpa maua baada ya ushindi wake mpya wa kuwa ‘kocha&rsquo...
30
Diddy aonekana akila bata na mabinti zake
DIDDY AONEKANA AKILA BATA NA MABINTI ZAKEBaada ya kushutumiwa na kufunguliwa mashitaka dhidi ya kesi za unyanyasaji wa kingono huku kutojulikana alipo na sasa mwanamuziki Didd...
29
Bata la disko lamponza Rashford
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #MarcusRashford  anadaiwa kutozwa faini tsh 2 bilioni  kwa kwenda ‘disko’ siku  ya Jumapili&nb...
23
Utani wa Diamond, Innossb kuhusu timu za taifa
Ikiwa yamebaki masaa machache kuelekea mchezo wa mwisho wa kundi F kupitia michuano ya #Afcon unaotarajiwa kuchezwa kesho kati ya Congo dhidi ya Tanzania wanamuziki Diamond na...
15
Mitandao ya kijamii ilivyogeuka mtaji kwa watu maarufu
Achana na wale ‘wanaofeki’ wenye kutumia pesa nyingi kwa ajili ya kununua ‘maroboti’ kwenye mitandao ya kuuzia muziki ili kazi zao zionekane zimepata w...
28
Movie zilizomkosha Obama 2023
Kama ilivyo kawaida kwa watu maarufu, mwisho wa mwaka kuachia list ya ngoma, vitabu na filamu zilizowakosha kwa mwaka huo, aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama ameachia mke...
14
Aliyekuwa meneja wa Facebook akiri kutumia hela za kampuni kula bata
Aliyekuwa Meneja wa programu za Facebook, Barbara Furlow-Smiles, akiri kosa la ulaghai baada ya kuiba zaidi ya dola 4 milioni kuto...
04
Meli kubwa zaidi duniani kuanza safari mwezi ujao
Meli kubwa zaidi duniani ya kitalii iitwayo "Icon of the Seas" inatarajia kuanza safari Januari 27, 2024, kutoka PortMiami nchini Marekani, na itaanza kwa ziara ya siku saba y...
20
Diamond akimchimba biti D voice kutovaa vitu feki
Mwanamuziki Diamondplatnumz akimkabidhi msanii mpya wa WCB D Voice cheni mpya yenye mchanganyiko wa madini iliyotengenezwa kwa muundo wa nembo ya WCB huku akimtaka msanii kuto...
12
Davido awapa onyo wanaosambaza picha zake za zamani
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, Davido kupitia mtandao wake X amewapa onyo wanaosambaza picha zake za zamani mtandaoni zikimuonesha akiwa na mkewe hospitali. Picha hizo zi...
30
Marioo: wananitaka, mimi siwataki
Penzi  la #Paula na #Marioo limeonekana kuendelea kunoga hadi kupelekea wawili hao kushindwa kuficha hisia zao. Licha ya kuwa na maneno mengi kutoka kwa  baadhi ya w...
26
China kumenoga white party ya Hamisa
Ukisikia kujipata basi Hamisa Mobetto amejipata haswa, usiku wa kuamkia leo mrembo huyo amefanya party nchini China akiwa na mpenzi wake mpya anayefahamika kama Kevin Sowax.Am...
23
Afariki kwa kugongwa na gari akiwasaidia bata kuvuka barabara
Mwanamume mmoja kutoka nchini California aliefahamika kwa jina la Casey Rivara amefariki baada ya kugongwa na gari ambapo alionekana akisaidia bata kuvuka barabara muda mfupi ...
25
BATA BATANI: Petra in Jordan
Alright my traveling and adventure peeps. Ni wiki nyingine tena tunakutana hapa katika segment ya BATA BATANI. Basi bwana, wiki hii nipo nchini Jordan, sehemu inaitwa PETRA. P...

Latest Post