26
Kesi Ya Diddy Yapigwa Msasa, Mashtaka Mengine Yafutwa
Waendesha mashtaka nchini Marekani wamefuta baadhi ya mashtaka dhidi ya mwanamuziki Sean “Diddy” Combs, ikiwa ni siku moja kabla ya kusikilizwa kwa hoja za mwisho ...
21
Diamond Aweka Historia Marekani
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameandika historia nyingine kwenye muziki huo, ambapo usiku wa kuamkia leo Juni 21, 2025, amefanikiwa kutumbuiza katika tamasha kubwa l...
06
Mama Carina Afariki Dunia, Apishana Siku 40 Na Mwanaye
Fatma Maruzuku ambaye ni mama mzazi wa Marehemu Hawa Hussen (Carina), amefariki dunia leo June 06,2025 jijini Dar es Salaam.Kaka wa Marehemu amethibitisha kutokea kwa msiba hu...
24
Filamu Ya MJ Yapigwa Kalenda, Kutoka 2026
Filamu kuhusu maisha ya aliyekuwa Mfalme wa Pop wa Marekani, Michael Jackson, iitwayo ‘Michael’, imeripotiwa kuwa haitatolewa mwaka huu kama ilivyotangazwa awali, ...
03
Beyonce Apigwa Marufuku Na Mmiliki Wa Sphere
Mmiliki wa ukumbi wa Sphere uliopo Las Vegas amemtumia Beyoncé barua ya kuzuia na kusitisha (cease and desist) kipande cha video kilichorekodiwa na mashabiki katika tam...
24
Jose Chameleone Arudi Kazini
Mwanamuziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone anatarajia kufanya show kwa mara ya kwanza baada ya kutoka kwenye matibabu nchini Marekani. Kupitia ukurasa wake wa Instagram...
23
Oscars Waanzisha Kanuni Mpya Kwa Wapigaji Kura
Waandaji wa Tuzo za ‘The Academy Awards’ 'Oscars' wamefanya mabadiliko kuelekea msimu ujao wa tuzo hizo. Huku wakianzisha sheria mpya kwa wapigaji kura p...
04
Frida Ayapiga Teke Mapenzi, Sababu Ni Hizi
Inafahamika kuwa kiwanda cha muziki wa Hip-hop Bongo kina wasanii wachache. Lakini ni gumu kuwataja  waliopo  na kuliacha jina Frida Amani, ambaye  ni miongoni ...
19
Jose Chameleone Kufanyiwa Upasuaji Leo
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
08
Myamba Awapinga Wanaodai Muziki, Kuigiza Ni Dhambi
Mwigizaji na mchungaji Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepinga mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kufanya sanaa ni dhambi.Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano m...
06
Nchi Hizi, Adhabu Ya Umbea Ni Kifo
Katika historia, zamani baadhi ya nchi zilikuwa na sheria kali dhidi ya mtu ‘Mmbea’ (watu waliokuwa wakisambaza na kuzungumza taarifa zisizo za kweli au zisizowahu...
21
Mke wa Trump na mitindo ya mavazi kwenye uapisho
Wakati shughuli za uapisho wa Rais mpya wa Marekani Donald Trump zikifanyika jana Januari 20,2025. Mke wa Rais huyo Melania Trump alitokea kwenye hafla hiyo akiwa amevalia ske...
09
Billboard Yatoa Orodha Ya Wasanii Bora Wa Karne 21, Mashabiki Wapinga
Chati kubwa ya muziki Duniani ya Billboard imetoa orodha ya wasanii 100 bora na waliofanya vizuri kwenye chati hiyo kwa karne ya 2...
22
Diamond, Nandy wapiga Mtonyo mrefu Kenya
Jumamosi ya jana Desemba 21, 2024 wasanii Diamond Platnumz na Nandy walipata show ya kutumbuiza kwenye harusi nchini Kenya, performance ambayo inaelezwa kuwa ya muda mfupi lak...

Latest Post