Waendesha mashtaka nchini Marekani wamefuta baadhi ya mashtaka dhidi ya mwanamuziki Sean “Diddy” Combs, ikiwa ni siku moja kabla ya kusikilizwa kwa hoja za mwisho ...
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameandika historia nyingine kwenye muziki huo, ambapo usiku wa kuamkia leo Juni 21, 2025, amefanikiwa kutumbuiza katika tamasha kubwa l...
Fatma Maruzuku ambaye ni mama mzazi wa Marehemu Hawa Hussen (Carina), amefariki dunia leo June 06,2025 jijini Dar es Salaam.Kaka wa Marehemu amethibitisha kutokea kwa msiba hu...
Filamu kuhusu maisha ya aliyekuwa Mfalme wa Pop wa Marekani, Michael Jackson, iitwayo ‘Michael’, imeripotiwa kuwa haitatolewa mwaka huu kama ilivyotangazwa awali, ...
Mmiliki wa ukumbi wa Sphere uliopo Las Vegas amemtumia Beyoncé barua ya kuzuia na kusitisha (cease and desist) kipande cha video kilichorekodiwa na mashabiki katika tam...
Mwanamuziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone anatarajia kufanya show kwa mara ya kwanza baada ya kutoka kwenye matibabu nchini Marekani. Kupitia ukurasa wake wa Instagram...
Waandaji wa Tuzo za ‘The Academy Awards’ 'Oscars' wamefanya mabadiliko kuelekea msimu ujao wa tuzo hizo. Huku wakianzisha sheria mpya kwa wapigaji kura p...
Inafahamika kuwa kiwanda cha muziki wa Hip-hop Bongo kina wasanii wachache. Lakini ni gumu kuwataja waliopo na kuliacha jina Frida Amani, ambaye ni miongoni ...
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
Mwigizaji na mchungaji Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepinga mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kufanya sanaa ni dhambi.Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano m...
Katika historia, zamani baadhi ya nchi zilikuwa na sheria kali dhidi ya mtu ‘Mmbea’ (watu waliokuwa wakisambaza na kuzungumza taarifa zisizo za kweli au zisizowahu...
Wakati shughuli za uapisho wa Rais mpya wa Marekani Donald Trump zikifanyika jana Januari 20,2025. Mke wa Rais huyo Melania Trump alitokea kwenye hafla hiyo akiwa amevalia ske...
Jumamosi ya jana Desemba 21, 2024 wasanii Diamond Platnumz na Nandy walipata show ya kutumbuiza kwenye harusi nchini Kenya, performance ambayo inaelezwa kuwa ya muda mfupi lak...