02
Kanye West Azuiwa Kuingia Australia Kisa Wimbo
Mwanamuziki kutoka Marekani Kanye West ambaye kwa sasa anajitambulisha kama ‘Ye Ye’, amezuiliwa rasmi kuingia nchini Australia baada ya serikali kufuta visa yake k...
02
Majaji wapitisha makosa manne kesi ya Diddy
Majaji ambao wanasimamia maamuzi kwenye kesi ya rapa Sean “Diddy” Combs wameripotiwa kufikia uwamuzi kwenye baadhi ya kesi huku kesi ya kufanya uhalifu wa kupanga ...
02
Kumbe MJ aliokoka wiki mbili kabala ya kifo chake
Inaelezwa kuwa Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson, alikuwa si tu mtu aliyegusa mioyo ya watu kupitia muziki wake bali alimpenda Mungu wakati wote.Kabla ya kifo chake Juni...
02
Huyu Ndio Alikuwa Mwanamke Mpweke Zaidi Duniani
Wakati wewe ukilalamika watu kutokupigia simu kwa siku mbili au moja na kujiita mpweke kwa upande wa Joyce Carol Vincent, raia wa Uingereza mwenye miaka 38, anatajwa kuwa ndio...
02
Aaliyah katika ndoto za Ramos kumpata Pilar
Misimu 16 ilimtosha Sergio Ramos (39), kuitumikia Real Madrid akiwa beki wa kati. Ndoto nyingi kama mchezaji amezitimiza hapa, Santiago Bernabeu ilimpa kila kitu akishinda mat...
01
Muziki wa reggae unavyotumika kuchochea fikra za ukombozi Afrika
Peter Elias, MwananchiDar es Salaam. Je, umewahi kusikia siku ya muziki wa reggae duniani? Basi, siku hiyo ipo, ni leo. Siku hii huadhimishwa Julai Mosi ya kila mwaka ambapo u...
01
Kesi Inayomkabili Chris Brown Yafutwa
Kesi ya madai inayomkabili mwanamuziki kutoka Marekani, Chris Brown ya kumpiga na chupa mtayarishaji wa muziki Abe Diaw tukio lililotokea jijini London kwenye moja ya klabu ya...
01
Majadiliano yaendelea hatma ya Diddy
Majaji wameanza majadiliano rasmi katika kesi inayomkabili rapa maarufu wa Marekani, Sean “Diddy” Combs, ambaye anakabiliwa na mashitaka ya usafirishaji wa binadam...
01
Hali ya Mushizo bado, moshi waingia kwenye kifua
Hali ya mwanamuziki wa Singeli Mussa Ramadhan maarufu ‘Dj Mushizo’ inaendelea kuimarika ikiwa ni takribani wiki tatu tangu apate ajali ya moto na kufikishwa katika...
30
Aslay afichua yaliyomkuta kwa Mnigeria
Waliosema aisifiaye mvua imemnyeshea, wala hakukosea baada ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini aliyeibuliwa na Kituo cha Mkubwa na Wanae kisha kutamba na Yamoto Ban...
30
Tegemea uhusika wa Paul Walker kwenye 'Fast & Furious
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini Marekani, Vin Diesel amethibitisha kuwa Uhusika wa marehemu Paul Walker, anayejulikana kwa jina la Brian O’Conner katika mfulu...
30
Picha lilivyoanza kati ya Beckham na Victoria wa Spice Girls  
Peter AkaroAkiwa na rafiki yake wakitazama runinga katika chumba cha hoteli, David Beckham (50), alimuona Victoria (51), katika vi...
30
Wakazi: Hawawezi kufanya kama mimi, wanataka vitu vya haraka
Nguli wa muziki wa Hip-hop nchini, Webiro Wassira 'Wakazi' amesema kuboresha maisha na tabia binafsi inaweza kuwa njia bora ya kuibua wasanii watakaoweza kutumbuiza ...
30
Uganda yanyakua tuzo nyingi ZIFF 2025
Zanzibar. Uganda imeibuka mshindi mkuu katika Tamasha la 28 la Kimataifa la Filamu (ZIFF) 2025 , ikichukua idadi kubwa zaidi ya tuzo katika makundi mbalimbali.  Katika ta...

Latest Post