17
Sababu, Lil Wayne kutemwa Super Bowl Halftime 2025
Baada ya kuwepo kwa minong’ono kuhusiana na ‘rapa’ Lil Wayne kutochaguliwa kutumbuiza kwenye ‘Super Bowl Halftime’ mwakani mtayarishaji wa onesho...
13
Rambo kutoa kitabu kuhusu safari yake hadi kuwa staa
Mwigizaji mkongwe kutoka Marekani Sylvester Stallone maarufu Rambo amefunguka kuja na kitabu chake kitachoelezea kuhusu safari yake hadi kuwa nyota mkubwa.Kwa mujibu wa Tmz ny...
11
Sababu ya Dj kula sahani moja na wasanii
Sio ajabu kuona Ma-DJ nchini nao wanakuwa maarufu kama ilivyo kwa wasanii wa Bongofleva.Wamekuwa wakiandaa shoo zao wenyewe, kushinda tuzo za kimataifa, kuwa na idadi kubwa wa...
05
Megan haoni sababu ya kupatana na Nicki Minaj
Rapa wa Marekani Megan Thee Stallion amefunguka kuwa hayupo tayari kupatanishwa na msanii mwenzake Nicki Minaj, kwani hajui chanzo cha ugomvi wao.“Mpaka leo sijui tatizo...
03
Sababu za 50 Cent kutosimamiwa na meneja hadi leo
Mwanamuziki wa Marekani 50 Cent ameweka wazi sababu ya kutokuwa na meneja hadi leo, huku akidai kuwa ni kheri kutoa kiasi kikubwa kwa mawakili kuliko kutoa pesa zake kwa ajili...
20
JB atoa sababu za kurudia wahusika kwenye filamu
Licha ya kuwa nchini wameendelea kuibuka waigizaji wengi chipukizi, lakini baadhi ya waandaaji wa filamu wanaonekana kurudia wasanii katika kazi zao, jambo ambalo limekuwa lik...
17
Kijana wa miaka 15 azindua sabuni ya kutibu saratani ya ngozi
Kijana mmoja aitwaye Heman Bekele (15) kutoka Fairfax, Virginia ameripotiwa kuvumbua sabuni inayoweza kuzuia na kutibu saratani ya ngozi.Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini...
16
Jeraha la shingo sababu ya Usher kuhairisha show
Baada ya mashabiki kukerwa na Usher kuhusiana na tamko lake la kuhairisha show kwa lengo la kupumzika, hatimaye msanii huyo amefunguka sababu kuu iliyomfanya ahairishe show hi...
15
Usher ataja sababu ya kuhairisha show
Mwanamuziki wa Marekani Usher Raymond ametaja sababu ya kuhairisha ziara yake ya kidunia ya ‘Past, Present, Future’ aliyotakiwa kuifanyika jana Jumatatu jijini Atl...
12
Asake ataja sababu Davido kutokuwepo kwenye album yake
Msanii wa Asake amefunguka sababu ya Davido kutokuwepo kwenye Album yake aliyoipa jina la ‘Lungu Boy’ inayotarajiwa kutoka hivi karibuni.Wakati yupo live kwenye In...
31
Diamond aweka wazi sababu ya kuvaa Kimasai kwenye Komasava
Baada ya kuwepo na minong’ono kupitia mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mashabiki wakihoji kwanini Diamond aliamua kuvaa vazi la Kimasai katika video yake na kwanini asi...
14
Muziki na maajabu yake kwenye maisha ya binadamu
Umewahi kujiuliza kwanini unasikiliza muziki? Au muziki una faida gani kwenye maisha yako? Kama hukuwahi fahamu kuwa muziki unavingi vya kuvutia na umuhimu kwenye maisha yako ...
13
Vijana wanavyoitazama sanaa kama sehemu ya kutokea
Moja ya biashara ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kama utaweka jitihada na nguvu katika kujifunza ni sanaa. Kutokana na hilo, sekta hii imekuwa ikikimbiliwa na vijana wengi...
13
Maokoto yanavyowafanya wasanii wa vichekesho kukimbilia YouTube
Siku za hivi karibuni huwenda mambo ni rahisi kwa wasanii wa vichekesho baada kuyakimbiza maudhui yako katika mitandao ya kijamii kama YouTube tofauti na ilivyokuwa zamani. Ak...

Latest Post