29
Marufuku kuingia bungeni na kaunda suti
Bunge nchini Kenya limepiga marufuku uvaaji wa suti iliyopewa jina la aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Kenneth Kaunda ndani ya jengo hilo. Spika wa Bunge, Moses Wetangula ame...
11
Ruto ataka mapigano Sudan yasitishwe
Wajumbe wa kamati ya Mamlaka ya ushirikiano wa Serikali za Afrika Mashariki na pembe ya Afrika, (IGAD) ya kutafuta suluhisho kwa mzozo wa Sudan, wamekutana mjini Addis Ababa J...
05
Ruto awataka wabunge watakaopinga muswaada
Rais wa kenya William Ruto amesema kura ya wazi itafanya awatambue viongozi watakaopinga mpango kuwa maadui wa maendeleo na hawana nia ya kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wa...
25
Kenya kuanzisha vitambulisho vya kidigitali
Rais kutoka nchini Kenya William Ruto ametoa taarifa hiyo jana Mei 24, 2023 jijini Nairobi kwenye Mkutano wa ID4 Africa  na kueleza kuwa ni mpango wa Serikali kuanza kusa...
18
Muhubiri aliedai kuagizwa na Mungu akamatwa
Nabii mmoja kutoka nchini Kenya, aliefahamika kwa jina la Joseph Otieno Chenge kutoka katika kanisa la Jerusalem Mowari  lililopo Ruri, amekamatwa pamoja na washirika wak...
24
Ruto aagiza mchungaji Mackenzie ashtakiwe
Rais William Ruto ametoa wito wa kushtakiwa kwa mchungaji Paul Mackenzie kuhusiana na vifo zaidi ya 40 vya wafuasi wake ambao aliwaagiza kufunga kula hadi kufa na miili y...
18
Omondi aitaka serikali ya Kenya kuwajali wananchi wake
Mchekeshaji kutoka Kenya Eric Omondi amewalipia billi akina mama wa tano waliokuwa kidaiwa katika hospitali waliojifungulia, baada ya kujua kuwa baadhi yao walikuwa na madeni ...
10
Gachagua: hatutazungumza na Odinga hadi amtambue Ruto kuwa ni rais
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametoa masharti kwa Kiongozi wa Azimio La Umoja Kenya, Raila Odinga  na kusisitiza anatakiwa akiri hadharani kuwa anamtambua W...
05
Kagame: Nikistaafu natamani kuwa mwandishi wa habari
Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema anatazamia kustaafu na kukabidhi madaraka baada ya miaka 23 madarakani. Akizungumza katika kikao na waandishi wa habari pamoja na rais wa Ke...

Latest Post