Producer na ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Dr. Dre anatarajiwa kutunukiwa nyota ya heshima kwenye Hollywood Walk of Fame Machi 19, mwaka huu katika Jengo la Hollywo...
Kampuni ya Apple imeripotiwa kusitisha utengenezaji wa gari la umeme lililokuwa likitengenezwa kwa zaidi ya miaka kumi iliyopita.Apple ilitoa taarifa hiyo siku ya jana Jumanne...
Gari aina ya #Cybertruck la mwanamuziki kutoka nchini Marekani Pharrell Williams lageuka kivutio kwa watembea kwa miguu kufuatiwa na muonekano wake kuwa tofauti.Tukio hilo lim...
Mwanamume mmoja aliyefahamika kwa jina la William Hickman mwenye umri wa miaka 55 anadaiwa kufariki baada ya kula uyoga wenye sumu uliokuwa umeota nyuma ya nyumba yake katika ...
Bunge nchini Kenya limepiga marufuku uvaaji wa suti iliyopewa jina la aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Kenneth Kaunda ndani ya jengo hilo.
Spika wa Bunge, Moses Wetangula ame...
Mchezaji maarufu wa mpira wa tenisi Serena Williams anatarajia kutunukiwa tuzo ya utambuliso wa mitindo na atakuwa mcheza tenisi wa kwanza kupewa tuzo hiyo.Baraza la Wabunifu ...
Muuzaji wa madawa ya kulevya Irvina Cartagena aliyetuhumiwa kuhusika na kifo cha muigizaji mkonge nchini Marekani Michael Williams, ahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela.Kifungo...
Nyota wa mchezo wa #Tenisi kutoka nchini Marekani Serena Williams na mumewe Alexis Ohanian wanatarajia kupata mtoto wa kike.
Kupitia tafrija fupi ya baby shower waliyofanya na...
Msanii kutoka nchini Nigeria, Rema ala shavu kufanya kazi pamoja na mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu na mfanyabiashara Michael Jordan kwenye tangazo la bidhaa za michezo ...
Wajumbe wa kamati ya Mamlaka ya ushirikiano wa Serikali za Afrika Mashariki na pembe ya Afrika, (IGAD) ya kutafuta suluhisho kwa mzozo wa Sudan, wamekutana mjini Addis Ababa J...
Mwimbaji wa nyimbo za injili mkazi wa Eldoret nchini Kenya, Mchungaji William Getumbe amejikuta katika mgogoro na watumishi wenzake, huku wakimtoa kwenye kundi (group) lao la ...
Rais wa kenya William Ruto amesema kura ya wazi itafanya awatambue viongozi watakaopinga mpango kuwa maadui wa maendeleo na hawana nia ya kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wa...
Rais kutoka nchini Kenya William Ruto ametoa taarifa hiyo jana Mei 24, 2023 jijini Nairobi kwenye Mkutano wa ID4 Africa na kueleza kuwa ni mpango wa Serikali kuanza kusa...
Nabii mmoja kutoka nchini Kenya, aliefahamika kwa jina la Joseph Otieno Chenge kutoka katika kanisa la Jerusalem Mowari lililopo Ruri, amekamatwa pamoja na washirika wak...