Mwanamuziki wa #BongoFleva, nchini #Whozu ametoa onyo kwa wanao mtongoza mpenzi wake #WemaSepetu kupitia akaunti yake ya Instagram na Snapchat.
Whozu ameyasema hayo kupitia ma...
Pamoja na yote Wema aliondoka kwenye mbavu za Mondi, huku akimuachia msela faida nyingi zaidi, alimpa umaarufu mkubwa. Kama hiyo haitoshi akampa na Kiingereza juu, msela akaan...
Leo katika Fashion tumekusogezea baadhi ya wasanii waliotokelezea katika upande wa mavazi na wale ambao waliwashangaza watu kwa mitindo ya mavazi yaani walitoa booko hah...
Kupitia ukurasa rasmi wa Snapchat, wa The Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu ame-share ujumbe ambao umewashitua mashabiki wengi na kuwafanya waulizane kipi kimemkuta mrembo huyo...
Baadhi ya ‘mastaa’ wa kike wajitokeza kumpongeza aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe Jokate Mwegelo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT), am...
Kufuatia na kitendo kilichoteka usiku wa kuamkia jana katika birthday ya Wema, baada ya mama yake, kueleza kuwa anakasirishwa na kitendo cha Whozu kutokufuata taratibu za ndoa...
Muigizaji Wema Sepetu ameyatoa ya moyoni baada ya kile kilichotokea kwenye birthday party yake, na kueleza kuwa hatokuja kufanya tena sherehe maisha yake yote.Wema ameyasema h...
Muigizaji na mwandishi wa habari Mwijaku ametoa ushauri kwa mwanamuziki Whozu kuwa atafute pesa ili aweze kuheshimiwa ukweni,Hii inakuja baada ya kilichotokea usiku wa kuamkia...
Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas Bjorn Gulden, hatimaye akiwa kwenye podcast ya “In Good Company”, amtetea Kanye West kwa mara ya kwanza tangu Adidas isitishe u...
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Whozu ameweka hisia zake hadharani kwamba anapendwa sana na mpenzi wake #WemaSepetu amesema endapo akifariki katika wosia wake watu wasisahau kumuo...
Mkurugenzi wa Twanga pepeta, Asha Baraka amevunja ukimya kwa The Tanzanian Sweetheart, Wema Sepetu kuhusiana na suala la mrembo huyo kuwa na mahusinao mapya kila siku.
Kupitia...
Tanzanian Sweetheart, Wema Sepetu amejikuta akishindwa kuzuia hisia baada ya picha na video zake, kusambaa katika mitandao ya kijamii zikimuonesha akiwa na ujauzito.
Wem...
Duh! Embu tukae chini na tusikitike kidogo, nyie nyie kumbe watu wana stori nzito kama hizi ni vile tu hatujakaa nao vizuri. Basi bwana kama kawaida yetu kila siku tunakusogez...
Ni siku chache tuu tangu star wa bongo movie Wema Sepetu kuweka ahadi ya kusimama na binti wa kike wa kitanzania akipambania changamoto zao zinazowakwamisha kwenye kuji...