22
Watu 7 wauwawa katika shambulio, Somalia
Takriban watu saba wameuwawa siku ya jana wakati magari mawili yaliyobeba mabomu kulipuka nje ya kambi ya mafunzo ya kijeshi katika mji wa Bardhere, kusini mwa Somalia. Moja y...
15
Maafisa wa polisi wanne wauwawa,Kenya
Maafisa wanane wa polisi nchini Kenya wameuwawa wakiwa katika gari lao lililolipuka katika shambulio linaloshukiwa kufanywa na kundi la jihadi lenye makao yake nchini Somalia ...
17
Watu wanne wauwawa, Nigeria
Watu wenye silaha kali nchini Nigeria wameshambulia msafara wa  magari ya Marekani siku ya jana jumanne katika jimbo la kusini mashariki mwa nchi hiyo eneo la Anambra. Po...
08
Wanajeshi saba wauwawa baada ya gari kukanyaga bomu
Wanajeshi saba wame uwawa siku ya Jumapili huko Nigeria, baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini katika eneo la Tillaberi magharibi mwa Nigeria, Gari  lililo...
17
Watu 50 wauwawa katika mapigano nchini Sudani
Kufatiwa na machafuko kati ya Jeshi na kundi la wanamgambo la Rapid Support Forces (RSF) huko nchini Sudani yamekuwa ya kiendelea takribani siku ya 3 mfululizo zaidi ikiwa kat...
21
Zaidi ya Wanajeshi 40 wa Burkina Faso wauwawa kwenye shambulizi
Wanajeshi wasiopungua 51 wa Burkina Faso wameuwawa katika shambulizi la kustukiza lililotokea eneo la kaskazini mwa nchi hiyo linalofahamika kwa hujuma kubwa za makundi ya iti...
24
Zaidi ya watu 200 wauwawa kwenye mapigano ya kikabila, Sudan
Afisa mmoja wa juu wa afya nchini Sudan Fath Arrahman Bakheit amesema mapigano ya siku mbili ya kikabila kusini mwa nchi hiyo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 220. Mapi...

Latest Post