27
Foden azua hofu kwa mashabiki kukosa Euro 2024
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #PhilFoden amezua wasiwasi kwa mashabiki wa Egland baada ya kurudi Uingereza kwa ajili ya kumuona mpenzi wake ambaye anat...
15
Watatu wajeruhiwa wakati lil Baby akirekodi video
Vijana wa kiume watatu wameripotiwa kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika eneo la Dixie Marekani wakati mwanamuziki Lil Baby akiwa ana-shoot video ya ngoma yake mpya. Kwa mujib...
25
Walimu waruhusiwa kuingia na bunduki shuleni
Wabunge wa jimbo la Tennessee nchini Marekani wamepitisha mswada wa kuwaruhusu walimu na wafanyikazi wengine wa shule kubeba bunduki shuleni siku ya Jumanne. Imeelezwa kuwa wa...
03
Wasimamishwa kazi kwa tuhuma za kutumia dripu kusherehekea birthday
Watumishi watatu wa Hospitali binafsi ya Sakamu iliyopo mkoani Geita wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi kufuatia video inayosam...
08
Aliyetaka kumteka mtoto wa Neymar akamatwa
Kijana wa miaka 20 anashikiliwa na polisi baada ya jaribio la kutaka kumteka mtoto wa kike wa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Al Hilal, #Neymar baada ya kuvamia nyumba ...
07
Mkali wa Black Panther afariki na watoto wake watatu
Muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani, Taraja Ramsess amefariki dunia akiwa na watoto wake watatu baada ya gari lake kugonga trekta. Taraja ambaye ameonekana katika movie y...
12
Yulimar ateuliwa kuwania tuzo mwanariadha bora wa mwaka
Umekuwa mwaka mzuri kwa mwanariadha kutoka nchini Venezuela, #YulimarRojas si kwa sababu tu alifuzu kwenye michezo ya Olimpiki’ lakini pia siku ya jana ameteuliwa kuwani...
25
Mwanaume akimbia baada ya mpenzi wake kuwa na ujauzito wa watoto watatu
Mwanamke mmoja kutoka nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 27 anayetambulika kwa jina la Marry, adai kukimbiwa na mpenzi wake baada...
13
Auliwa kisa mkate
Mwanamme mmoja nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 32, Ebimotimi Freeborn, aliyetuhumiwa na kupigwa mpaka kufa kwa kuiba mkate kando ya Barabara ya Tombia, katika eneo la Yena...
11
Azua gumzo baada ya kuoa wanawake watatu kwa mpigo
Bwana bwana sijui kama umekutana  nayo hii katika status au mitandao ya kijamii kuhusiana na kijana Athumani Yengayenga mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa Shanwe Manispaa ...
28
Watatu wakamatwa kifo cha AKA
Kufuatia mauaji ya rapa kutoka nchini Afrika Kusini, Kierman Forbes maarufu kama AKA, wanaume watatu wameripotiwa kukamatwa kuhusiana na mauaji yaliyotokea February ...
21
Watatu hatiani kwa mauaji ya rapper XXXTentacion
Mahakama kutoka nchini Marekani imewakuta na hatia ya mauaji ya daraja la kwanza na wizi wa kutumia silaha Dedrick Williams mwenye umri wa miaka (26), Trayvon Newsom (24) na M...
12
Wanawake watatu wauawa kwa risasi katika mgahawa
Tukio hilo limetokea huko Italia ambapo inadaiwa kuwa mtuhumiwa wa mauaji hayo aliingia katika mgahawa uliopo Jijini Rome na kufyatua risasi ambazo pia zilijeruhi wengine wann...
18
Maporomoko ya ardhi yaua watatu,Venezuela
Maporomoko ya ardhi kaskazini mwa Venezuela yamesababisha vifo vya takriban watu watatu, huku uharibifu mkubwa ukiripotiwa huko el Castano, wilaya ya Maracay, mji mkuu wa jimb...

Latest Post