Gavana wa mji wa Florida, nchini Marekani #RonDeSantis ametia saini mswaada wa sheria ya mitandao ya kijamii nchini humo jana Jumatatu kupiga marufuku watoto walio chini ya um...
Mwanamuziki wa #BongoFleva, nchini #Whozu ametoa onyo kwa wanao mtongoza mpenzi wake #WemaSepetu kupitia akaunti yake ya Instagram na Snapchat.
Whozu ameyasema hayo kupitia ma...
Peter Akaro
Dar es Salaam: Kama kuna kitu wasanii wa Nigeria walikuwa na uhakika nacho katika tuzo za 66 za Grammy 2024, ni kuondoka na ushindi mnono kutokana na kuchaguliwa k...
Baada ya ku-share taarifa kupitia Instastory yake kuhusu kuwa single mwanamuziki Diamond, ametengua kauli hiyo kwa kueleza kuwa hayupo single bado anaendelea kula raha hubani....
‘Mechi’ kati ya ‘timu’ ya vijana wanawake #InyemeraWFC na #RamburaWFC nchini Rwanda imeghairishwa baada ya radi kupiga katika uwanja wa Gicumbi na kusa...
Mwanamuzi #DiamondPlatnumz awapiku #Asake, #BurnaBoy, #Libianca na #TaylerICU Dj baada ya kushinda tuzo ya msanii bora kutoka Afrika MTV Europe Music Award 2023.
Si mara ya kw...
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani aitwaye Breneida Gottschalk ameshitakiwa kwa kosa la kutishia kufyatua risasi baada ya kuuziwa chips zilizoungua.
Mwanamke huyo mwenye um...
Hatimaye ‘klabu’ ya Simba nayo imengia katika hatua ya makundi ya ‘Klabu’ Bingwa Afrika kwa sare ya mabao 3-3 nje ndani dhidi Pwer Daynamos.
Historia i...
Baada ya mkali kutoka Tanzania Diamindplatnumz siku chache kuonekana akiwa Rwanda, sasa ni zamu ya Davido.Siku ya kesho kunatarajiwa kuwa na Tamasha la @giantsofafrica, katika...
‘Winga’ wa #ManchesterCity Jack Grealish ameeleza kuwa ‘kocha’ wao Pep Guardiola amewapiga marufuku wachezaji wake kusheherekea ushindi wao kupita kias...
Baada ya ukimya wa muda mrefu wa Mh. Nickson John maarufu kama @nikkiwapili bila kuachia ngoma, hatimaye sasa amerejea kitofauti.
Nikki ameachia wimbo aliyoupa jin...
Upinzani umekuwa kitu cha kawaida kwa watu wanaofanya jambo la kufanana, kama ilivyo kwa wafanyabiashara katika kuvuta wateja, kwenye michezo kama ilivyo simba na Yanga, lakin...