23
Priyanka Chopra ampongeza mumewe kwa kumlea binti yao
Mwigizaji kutoka nchini India, #PriyankaChopra amempa pongezi mumewe #NickJonas na watu wengine walioshiriki kumlea binti yake Malti kwa wakati alipiokuwa katika kazi yake ya ...
13
Ruger: Naweza kupenda wanawake watano kwa wakati mmoja
Mwanamuziki wa Nigeria, Ruger amefunguka mtazamo wake kuhusu mahusiano  kwa kudai kuwa anaweza kupenda wanawake watano tofauti kwa wakati mmoja.  Ruger ameyasema hay...
03
Willow Smith: wanaamini nimepata mafanikio kupitia wazazi wangu
Willow Smith ambaye ni mtoto wa mwigizaji kutoka nchini Marekani, Will Smith, ameweka wazi kuwa mafanikio aliyonayo hayatokani na wazazi wake bali ni juhudi zake mwenyewe.Will...
29
Thiago amalizana na Chelsea
Beki na nahodha wa klabu ya #Chelsea, #ThiagoSilva ambaye pia alikuwa nahodha wa timu ya Taifa ya Brazil amethibitisha kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu. Thiago aki...
16
Katibu Basata akumbushia ugomvi wa Diamond na Rayvanny
Mwanamuziki Rayvanny tayari amewasili nchini kutoka Kenya ambapo alienda kwenye hafla ya utolewaji tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards 2024 (EAEA) ambapo ameondoka n...
02
20 percent: Siwezi kujishusha kwa sababu ya pesa
Aisha Charles Isikiwapo ngoma iitwayo Mama Neema au Money Money, wengi inawakumbusha miaka 13 iliyopita, kwa sababu ndiyo nyimbo zilizokuwa zikifanya poa kutoka kwa mwanamuzik...
25
Davido: Ningekutana na mke wangu kipindi hiki nisingemuoa
Mwanamuziki wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria, #Davido ameweka wazi kuwa alikutana na mke wake, #ChiomaAdeleke kabla ya kuwa na pesa wala umaarufu. Kupitia mahojiano yake hivi...
06
Chino Kidd amvaa tena Marioo, Amtaja Baba Levo
Kutokana na mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yakimhusisha mwanamuziki na dansa Chino Kidd kuwa kwenye mgogoro na bosi wake wa zamani Marioo, mkali huyo amefunguk...
09
Regina: Nitachagua kumtolea figo mume wangu na siyo baba yangu
Mwigizaji maarufu kutoka nchini #Nigeria, #ReginaDaniels amezua gumzo mitandaoni baada ya kudai kuwa yuko tayari kumtolea figo mumewe Mh.NedNwoko ili apone na aendelee kuishi ...
08
Sabaha: Watoto wangu wanatamani niache muziki
Msanii mkongwe wa muziki wa taarabu #SabahaSalum amedai kuwa watoto wake wanasauti nzuri ya kuimba lakini hawapo tayari na wanaomba Mungu aache kuimba taarabu. Akizungumza na ...
06
Unapataje kazi bila kushikwa mkono
Connection, conection, conection, nimeiita mara tatu waungwana, ni maatumaini yangu wote mnaelewa maana ya hili neno maana waswahili wanasema hata kazi ya kufagia barabarani i...
01
Mke wa Professor Jay: Uvumi wa kifo cha mume wangu uliniumiza
Mke wa mwanamuziki mkongwe wa Hip-hop #ProfessorJay, #GraceMgonjo amedai kuwa taarifa ambazo zilikuwa zinamuumiza kipindi cha nyuma ni kuhusu mumewa kuzushiwa kifo wakati akiw...
10
Lavalava: Kwangu imekuwa ngumu kujumuika na wasanii wengine
Mwanamuziki wa BongoFleva #Lavalava awajibu watu wanaosema kuwa anajitenga na yupo kimya tofauti na wasanii wengine. Akizungumza na moja ya chombo cha habari nchini msanii huy...
09
Nay: Muziki wangu haulengi watu wa mtandaoni
Akizungumza na shirika la habari BBC mwanamuziki wa Hip-hop nchini Nay wa Mitego amedai kuwa muziki wake huwa anawalenga watu wenye hali ya chini kabisa hivyo anachanganyikiwa...

Latest Post