02
Waliopinga utawala wa Mfalme Mswati wahukumiwa jela miaka 20
Mahakama kutoka nchini Eswatini imewakuta wabunge wawili na hatia ya mauaji na ugaidi kwa jukumu lao katika wimbi la maandamano yaliyoikumba nchi hiyo mwaka 2021. Mduduzi Bace...
30
35 wahukumiwa adhabu ya kifo
Mahakama nchini Libya siku ya jana Jumatatu ilitoa hukumu ya kifo kwa wanajihadi 35 waliokutwa na hatia ya kupigana pamoja na kundi la Islamic State katika nchi hiyo iliyopo A...
09
Wahukumiwa kunyongwa kwa kukashifu dini.
Mahakama kutoka nchini Iran ilitangaza hukumu ya kunyongwa dhidi ya wanaume wawili  siku ya Jumatatu ambao walihukumiwa kifo kwa kuukashifu uislamu, watuhumiwa hao walita...
07
Wanandoa wahukumiwa miaka minne kwa kuiba mvinyo
Aliyekuwa malkia wa urembo wa Mexico, Priscila Guevara pamoja na mpenzi wake Consantin Dumitru wahukumiwa kifungo cha miaka minne nchini Uhispania kwa kuiba chupa 45 za mvinyo...
20
Watu 17 nchini Libya wahukumiwa kifo kwa kujiunga na kundi la IS
Mahakama nchini Libya imewahukumu kifo watu 17 baada ya kuwakuta na hatia ya kujiunga na kundi la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu (IS) na kufanya uasi kwa kutumia jina hi...
18
Wahukumiwa kwa kutungua Ndege
Mahakama nchini Uholanzi Novemba 11, 2022 iliwatia hatiani wanaume watatu bila kuwepo mahakamani kwa mauaji ya halaiki kwa jukumu lao katika kuangusha ndege ya shirika la ndeg...

Latest Post