08
Matukio ya kupotea waandishi wa habari, Yalivyozima ndoto ya mwigizaji John
Na Aisha Charles Wakizungumziwa waigizaji wa Bongo movie wanaokosha mashabiki kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zao za uigizaji ni ngu...
10
Wasiojulikana wavamia chombo cha habari
Watu wasiojulikana wanaodaiwa kuwa majambazi wamevamia Television ya serikali nchini Ecuador siku ya jana Jumanne na kuwaweka chini ya ulinzi waandishi wa habari waliokuwa wak...
16
Ahmedi Ally: Tuzo ya mashabiki bora haitakaa ofisi ya Simba
Afisa habari wa ‘Klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly ameeleza kuwa Tuzo ya mashabiki bora wa #AFL haitakaa kwenye ofisi za ‘Klabu’ hiyo bali itakuwa ikitembea...
09
Mimi Mars hawezi kugombania mwanaume
Mwanamuziki na muigizaji nchini #MimiMars amedai kuwa hawezi kugombana mwanamke mwenzake kisa mwanaume niaibu kwake kwa jinsi alivyolelewa. Akizungumza na waandishi wa habari ...
07
Best Naso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki
Msanii wa #BongoFleva, #BestNaso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki baada ya kuachia video yake ya ‘Simpendi Mama’ kutoka kwenye EP yake ya ‘Top4 Story&rsquo...
06
Ahmed Ally: Mashabiki kuweni watulivu
Baada ya ‘klabu’ ya #Simba kupokea kipigo kizito cha bao 5-1 dhidi ya ‘klabu’ ya #Yanga siku ya jana, Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano &lsqu...
05
Harmonize: Ukinifurahisha nakuchora tattoo, Ukinikasirisha naifuta
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Harmonize amedai kuwa mtu akimfurahisha anamchora tattoo na endapo akimkasirisha basi anafuta tattoo hiyo, Konde Boy ameyasema hayo baada kuonekan...
15
Manara: Sitaki tena mpira
Aliye kuwa msemaji  wa ‘klabu’ ya #Yanga Haji Sunday Manara amefunguka kuachana na masuala ya mpira na kutouzungumzia kabisa, akidai mpira umejaa uadui. Akizu...
31
Vyombo vya habari kuchunguzwa
Waangalizi wa vyombo vya utangazaji vya nchini Uturuki, jana Jumanne, wametangaza kuchunguza vituo sita vya televisheni vya upinzani kwa madai ya kukashifu umma kupitia matang...
19
Waandishi wa habari waandamana, Tunisia
Wanahabari kutoka  nchini Tunisia wamefanya maandamano kupinga sheria dhidi ya ugaidi, wakiwa na mabango yenye jumbe tofauti wakidai sharia hiyo imetungwa ili kuvitisha v...
03
Waandishi wa habari wawili wafukuzwa, Burkina Faso
Waandishi wawili wa habari wanaoripoti katika magazeti ya Ufaransa wamefukuzwa kufuatiwa na mwenendo wa kuharibika kwa uhusiano kati ya Serikali za mataifa hayo mawili. Waand...
03
Ethiopia, Mahakama zapewa onyo kutoa vitisho kwa waandishi wa habari za uchunguzi
Mamlaka ya Vyombo vya Habari vya Ethiopia (EMA) ambayo iko chini ya Serikali imetoa onyo kwa mamlaka nyingine ambazo zimekuwa ziki...

Latest Post