07
Uwoya agoma kufuta tatoo hadi Roho Mtakatifu amwambie
Mwigizaji Irene Uwoya amesema licha ya kuingia kwenye maisha ya wokovu hawezi kufuta tatoo zilizopo mwilini mwake hadi Roho Mtakatifu atapomwambia.Uwoya ameyasema hayo leo Sep...
26
Irene Uwoya amvaa anayedai amefanya kanisa kama disko
Mwigizaji Irene Uwoya amemvaa mama anayehoji kuhusu kuokoka kwake, kupitia video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha mama huyo akidai kuwa Irene anatakiwa kufun...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
16
Uwoya amkumbuka marehemu mumewe
Muigizaji mkongwe kutoka nchini #IreneUwoya amevunja ukimya na kueleza kuwa jana ilikuwa ni siku ngumu sana katika maisha yake huku aki-posti picha ya marehemu mumewe mchezaji...
06
Uwoya: Wanatuona hatufai mbele za watu
Siku naomba kufanya nyimbo hii na #Godfreysteven_ haikuwa rahisi kwangu nilijiuliza sana kwa jinsi watu wanatuona hatufai mbele za watu na yeye maisha yake tofauti na yangu. I...
07
Uwoya: umaskini unauma
Na Habiba Mohamed Hellow niaje niajeeee!kama kawaida hatupoi na hatuboi na habari moto moto, waswahili tunasema ni yeyee Tajiri  mwenyewe anakamsomo kake kuwa jumatatu si...
02
Dogo Janja: Sina mawasiliano na Uwoya
Alooooweeeh! Alooootenaah! Sisi huwa tunakuletea vitu konki tuu hatunaga mba mba mba kama kawaida yetu, basi bwana, staa wa muziki nchini Tanzania Dogojanja, akiwa katika maho...
15
Irene Uwoya: Natafuta mtu wa kunichekesha
Hii sasa kali Nyota Wa Filamu  Bongo Irene Uwoya katika ukurasa wake wa instagram ame-share video fupi akisema kwamba anatafuta mtu kwaajili ya kumchekesha "Na...
29
Irene Uwoya Aachia ujumbe huu mtandaoni
Staa wa filamu nchini Irene Uwoya anaendelea kuwakumbusha watu kuwa waendelee kutafuta pesa kwa sababu mwanamke mzuri anatengenezwa haji hivihivi. Kuthibitisha kauli...
26
Irine Uwoya kuingia kwenye Ndoa
Alaaah! Kutoka ukurasa wa Instagram wa Muigizaji wa bongo movie Irene Uwoya mapema ameweka ujumbe huu mtandaoni ulioibua wadau mbalimbali ikiwemo wasanii wenzake kumtakia heri...
04
Irene Uwoya : Nanunua kiatu kwa milioni 10
Ebwana waswahili wanasema usicheze na mwenyepesaa, mwenyepesa sio mwenzako bwana hii imedhihirika kwa Staa wa filamu Irene Uwoya ambapo amesema yeye sio mvivu kwenye kutumia p...
20
Uwoya ataka kwenda Honeymoon sio Fungate
Moja kati ya stori ambayo imeleta gumzo huko mitandaoni ni kuhusiana na Star wa Filamu nchini Irene Uwoya ameandika ujumbe unasema kwamba anataka Honeymoon na sio fungate. Sas...
30
Irene Uwoya: 2022 Ni mwaka wa kupunguza watu
Eebwana ulishawahi kusikia usemi wa msanii wa BongoFlava Tundaman ambao unasema kama una rafiki snitch, mpenda bata, miyayusho au humuelewi we mpunguze tu. Basi huo usemi pia ...

Latest Post