30
Tiwa alipiga mswaki mara sita kabla ya kumbusu Andrew
Mwanamuziki nchini Nigeria Tiwa Savage ambaye kwa sasa ameifuata ndoto yake ya uigizaji ameweka wazi kuwa alipiga mswaki mara sita kabla ya kushuti kipande cha kukisi na mwigi...
28
Tiwa avutiwa na mavazi wa Ayra
Wakati mashabiki kutoka Nigeria wakimshambulia mwanamuziki Ayra Starr kuhusu mavazi yake yanayo onesha maungo ya mwili, kwa mwanadada Tiwa Savage imekuwa tofauti ambapo yeye a...
05
Filamu ya Tiwa kuanza kuonekana mei 10
Mkali wa afrobeat kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage ametangaza kuwa filamu yake ya ‘Water and Garri’ itaachiwa rasmi Mei 10 mwaka huu, itaruka kwa mara ya kwanza k...
20
Tiwa adai kuwa amekula chakula chenye sumu
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage amedai kuwa amekula chakula chenye sumu.Tiwa kupitia Instastory ame-share picha za dawa ambazo anatumia kwa ajili ya kupambana na...
06
Rema aweka wazi kuwa na tatizo la macho
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Rema ameweka wazi kuhusiana na uvaaji wake wa miwani kwa siku za hivi karibuni, ambapo ameeleza kuwa anatatizo la macho.Rema ameyasema hayo ...
16
Miwani kwa Tiwa siyo fashion, ni matatizo
Baada ya baadhi ya mashabiki kudadisi kuhusiana na uvaaji wa miwani kwa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage, hatimaye mwanamuziki huyo ametoa sababu ya kwanini huvaa...
10
Kilichofanya Tiwa na Davido kufuta urafiki chafichuka
Hatimaye wapenzi wa muziki wamepata majibu ya kilichokuwa kikiendelea kati ya wanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage na Davido baada ya wawili hawa kufuta urafiki kwenye...
06
Tiwa na Davido si marafiki tena
Wanamuziki kutoka nchini #Nigeria Tiwa Savage na Davido wameacha mashabiki wao katika sintofahamu baada ya wawili hao kufuta urafiki kwenye mtandao wa Instagram huku sababu ya...
22
Hivi ndivyo Tiwa Savage alivyochagua kumaliza mwaka
Kama ilivyo desturi kwa baadhi ya wasanii kujipongeza kwa kujinunulia zawadi mbalimbali mwisho wa mwaka mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage amechagua kuumaliza mwaka...
29
Noah awakalisha Burna Boy, Davido na Tiwa Savage kwenye o2 arena
Mchekeshaji na muandishi wa habari kutoka Afrika Kusini Trevor Noah ameendelea kuupiga mwingi baada ya kuwavutia wengi kupitia mitandao ya kijamii kwa kujaza mashabiki katika ...
16
Tiwa Savage aibukia uigizaji
Mwanamuziki  kutoka Nchini Nigeria  Tiwa Savage ametangaza kuibukia kwenye filamu kwa mara ya kwanza kupitia Filamu yake aliyoipa jina la “Water & Garri&rs...
06
Tiwa Savage, Ningekuwa wakiume ningekuwa na baby mamas wa5
Hivi ushawahi kukaa na kujiuliza ungekuwa mwanaume au mwanamke kitu cha kwanza cha kufanya kingekua nini hahahaha! Tuachane na hayo bwana leo kwenye gumzo mitandaoni ni msanii...
25
Tiwa Savage akosolewa vikali
Msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria ameendelea kupokea mashambulizi makali kufuatia video yake ya ngono iliyovuja hivi karibuni. Unaambiwa hadi sasa Tiwa Savage ameondolew...
08
Tiwa Savage aweka wazi kutumiwa mkanda wa Ngono
Niajee leo kwenye gumzo mitandaoni waswahili wanasema mambo si mambo bwana, Staa wa muziki nchini Nigeria Tiwatope Savage maarufu kama Tiwa Savage ametumiwa mkanda wa ngono(se...

Latest Post