27
Ngoma za wasanii wa Universal Music Group kuchezwa WhatsApp
Kampuni ya Meta inayojihusisha na mitandao ya kijamii pamoja na kampuni inayoongoza duniani kwa kutoa burudani ya muziki 'Universal Music Group (UMG)' zimeingia makubaliano ma...
20
Trump atumia picha ya Taylor kuomba kura
Mgombea wa kiti cha urais nchini Marekani Donald Trump ameripotiwa kutumia picha ya Taylor Swift iliyotengenezwa na akili bandia kuhimiza watu kumuunga mkono katika uchaguzi u...
08
Tamasha la Taylor Swift lapigwa chini
Matamasha matatu ya mwanamuziki Taylor Swift yaliyopangwa kufanyika nchini Austria yamesitishwa kufuatia shambulio la kigaidi lililopangwa kufanyika jijini Vienna.Tishio hilo ...
28
Portable: Muziki unalipa kuliko mpira
Msanii kutoka Nigeria Habeeb Okikiola ‘Portable’ amefunguka kwa kudai kuwa muziki unalipa kuliko mpira wa miguu huku akishangazwa na wanaodai kuwa wachezaji mpira ...
25
Taylor Swift ameza mdudu, Ashindwa kuendelea na show
Mwanamuziki wa Marekani #TaylorSwift amedaiwa kumeza mdudu na kushindwa kuendelea na show katika ziara yake ya dunia ya Eras iliyofanyika jijini London nchini Uingereza. Kwa m...
14
Taylor atangaza tarehe ya kutamatisha ziara yake
Ikiwa tayari zimefanyika show 100, katika ziara ya dunia ya mwanamuziki wa Marekani Taylor Swift, ‘Eras Tour’, hatimaye msanii huyo ameweka wazi tarehe ya kutamati...
15
Kendrick Lamar amejipata kwenye chati za Billboard
Wakati bifu la wanamuziki kutoka Marekani Drake na Kendrick Lamar likiwa limepowa kwa muda, ‘rapa’ Lamar anaendelea kukimbiza na kuonesha ubabe katika chati za Bil...
30
Taylor Swift wa moto Billboard, Ajaza ngoma zake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift ameutawala mtandao wa Billboard Hot 100, baada ya nyimbo zake 10 kuingia katika chati ya Billboard Top 10, ngoma hizo pia zipo ...
17
Taylor Swift apewa heshima na instagram
Ikiwa zimebaki siku chache tuu mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift kuachia album yake ya mpya iitwayo ‘The Tortured Poets Department’, msanii hiyo amep...
13
Taylor Swift akataa kulipwa tsh 23 bilioni
‘Rapa’ kutoka nchini Morocco French Montana amedai kuwa mwanamuziki na bilionea Taylor Swift alikataa kufanya show katika sherehe binafsi za Falme za Kiarabu ambap...
09
Taylor Swift auza ndege yake
Baada ya kuzuka sintofahamu kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na ndege binafsi ya mwanamuziki Taylor Swift kudukuliwa na mwanafunzi wa Florida, na sasa inadaiwa kuwa Taylo...
30
Beyonce na Tylor wavunja rekodi kwenye maokoto 2023
Wanamuziki kutoka nchini Marekani Beyonce na Taylor Swift ndiyo wasanii waliofanikiwa zaidi kwa mwaka 2023 kutokana na ziara zao walizozifanya na kuwapatia maokoto ya maana.Zi...
21
Drake & Taylor wachuana tuzo za Billboard
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Drake na mwanamuziki mwezie Taylor Swift wanashikiria rekodi ya ushindi wa muda wote katika Tuzo za muziki za Billboard (BBMAs) baada...
18
Taylor Swift aomboleza kifo cha shabiki
Mwanamuziki Taylor Swift anaomboleza kifo cha shabiki kilichotokea dakika chache kabla ya kupanda stejini katika tour yake ya Eras Tour iliyofanyika Brazil usiku wa kuamkia le...

Latest Post