17
Mwana Fa: Hakuna Mtawala Kwenye Sekta Ya Uchekeshaji
Kuelekea siku ya ugawaji wa tuzo za Tanzania Comedy Award Tarehe 22 Februari 2025, Naibu waziri wa Habari tamaduni sanaa na michezo Hamis Mwinjuma, Mwana FA amesema tukio hilo...
12
Maisha ya Brian baada ya kuigiza filamu ya Yesu
Brian Deacon ni jina la mwigizaji maarufu wa Uingereza aliyecheza kama Yesu Kristo katika filamu ya 'Jesus' (1979), iliyoandaliwa na kampuni ya 'Jesus Film Project'. Filamu hi...
11
Aliye nyuma ya ngoma ya Lamar inayomtesa Drake
Mustard ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wa Hip-hop wanaofanya vizuri duniani. Akifanikiwa kutengeneza ngoma kali za wasanii wakubwa ikiwa ni pamoja na 'Ballin' alioshi...
08
Watumiaji Wa Iphone Wataweza Kutuma Sms Sehemu Isiyo Na Mtandao
Apple, SpaceX, na T-Mobile wameungana katika ushirikiano wa kimkakati ili kuboresha mawasiliano kwa watumiaji wa iPhone.Kupitia ushirikiano huu, iPhone zenye toleo jipya la pr...
07
Huruma Yamponzi Ayra Starr
Mwanamuziki Ayra Starr amezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuchapisha video katika ukurasa wake wa TikTok akicheza wimbo mpya wa Naira Marley uitwao ‘Pxy...
23
Diddy Arudisha Mashambulizi, Afungua Kesi
Baada ya kuandamwa na kesi mfululizo za unyanyasaji wa kingono, hatimaye rapa Diddy ameamua kurudisha mashambulizi. Anadaiwa kufungua kesi ya madai kwa mtu aliyedai kuwa na vi...
30
Mtoto wa Rais wa Uganda akoshwa na Ayra Starr
Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Muhozi Kainerugaba amezua gumzo mtandaoni baada ya kuonesha kuvutiwa na mwanamuziki kutokea Nigeria Ayra Starr.Kupitia mtandao wake wa...
27
Stara Thomas msanii pekee wa kike aliyepewa shavu na Mwana FA 2003
Ni miongoni mwa waimbaji wachache wa kike walioanza kuvuma mwanzoni mwa miaka ya 2000, uandishi na sauti yake ya kuvutia vilimfanya kujizolea mashabiki na hata wasanii wenzake...
02
Zuchu atembea na mistari ya marehemu kaka yake
Wakati wimbo wa mwanamuziki Zuchu aliomshirikisha Diamond ‘Wale Wale’ ukiendelea kufanya vizuri kwenye mitandao ya kusikiliza muziki huku ukishika nafasi ya tatu k...
01
Safari ya Bi Star kutoka kwenye Taarab hadi kutesa anga za filamu
Waswahili wanasema vya kale ni dhahabu, watozi na wanagenzi wakafika mbali zaidi na kusema wakongwe hawafi 'legends never die'. Hii imethibitika baada ya mwigizaji mkongwe Sha...
21
Alikiba awajibu wanaodai yeye ni jeuri
Mwanamuziki anayetamba na EP aliyoipa jina la ‘Starter’, Alikiba amewajibu baadhi ya watu wanaodai kuwa msanii huyo ni jeuri.Alikiba amefunguka kupitia mahojiano y...
12
Upo umuhimu wa kutengeneza Documentaries kwa wasanii
Sekta ya muziki nchini Tanzania imekuwa kwa asilimia kubwa katika miaka ya hivi karibuni, huku baadhi ya wasanii kama Diamond, Harmonize, Zuchu, Jaiva, Nandy, Jay melody na we...
06
Rihanna na Ayra Starr waonekana pamoja kwa mara nyingine
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Ayra Starr ameendelea kushika vichwa vya habari baada ya kuonekana Rihanna wakiwa matembezi pamoja.Kwa mujibu wa baadhi za tovuti zinaeleza ku...
05
Daftari lenye mistari ya Wayne kuuzwa sh 13 bilioni
Daftari (notebook) ya zamani ya mwananamuziki Lil Wayne aliyokuwa akiitumia kuandika nyimbo zake mbalimbali lipo sokoni kwa ajili ya kuuzwa.Kwa mujibu wa Tmz imeeleza kuwa daf...

Latest Post