07
Rais wa CAF amlilia mchezaji wa Misri
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha mchezaji wa klabu ya Modern Future ya Misri, Ahmed Refaat. Kupi...
02
Zoran anatamba Al Hilal
Aliyewahi kuwa ‘kocha’ wa ‘klabu’ ya #SimbaSC, Zoran Manojlovic ‘Maki’ ameteuliwa kuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘Klabu’ ya A...
03
Jezi ya Yanga yapepea kwenye video ya AFCON
‘Jezi’ ya ‘klabu’ ya #Yanga imetumika kwenye video ya promo ya michuano ijayo ya mataifa ya Afrika #AFCON, inayotarajiwa kufanyika nchini Ivory Coast k...
16
Changalawe apoteza pambano
Bondia kutoka nchini Tanzania ambaye pia ni nahodha wa ‘timu’ ya taifa ya ngumi, Yusuf Changalawe amepoteza pambano lake la ‘fainali’ ya kuwania &lsquo...
19
Travis Scott azuiliwa kufanya show Misri
Chama cha wanamuziki Misri siku ya jana kilipiga marufuku tamasha la mwanamuziki kutoka Marekani Travis Scott lililopangwa kufanyika Julai 28 kwenye piramidi za Giza. Kwa muji...
11
Scott kuzindua albamu Piramidi, Misri
Rapa kutoka nchini Marekani Travis Scott ametangaza kuzindua albamu yake mpya alioipa jina la ‘Utopia’ kwenye show atakayoifanya Piramidi za Giza nchini Misri Ijum...
15
Amchoma kisu mwanafunzi mwenzie kisa kakataa kufunga nae ndoa
Mwanaume mmoja kutoka nchini Misri aliyefahamika kwa jina la Mohamed Adel amehukumiwa adhabu ya kifo baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa kukusudia Mwanafunzi mwenzake w...
12
Boti yawaka moto baharini
Boti ya watalii nchini Misri iliokuwa imebeba jumla ya watu 27, miongoni mwao wakiwa watalii 15 wa Uingereza imewaka moto ikiwa baharini. Vyombo vya habari nchini humo vimerip...
28
Nchi 6 Afrika zatuma maombi ya kuandaa AFCON 2027
Nchi 6 zimetuma maombi ya kuwa mwenyeji wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 ambazo ni Algeria, Botswana na Misri huku Kenya, Uganda na Tanzania zikiwas...
11
Vituko vya watu wa Sri Lanka na kuvinjari IKULU
Hapa sijui kama nicheke au nisikitishe maana mambo ni mambo muraaa!!Sidhani kama kuna siku tulitegemea kuona wananchi kushikwa na hasira hadi kuamua kuvamia nyumba ya Rais wao...
21
Siri za matajiri watu wasio na kipato cha uhakika hawazijui
Watu wasio na kipato cha uhakika wanapenda kutumia kama vile wana utajiri wakati matajiri huwekeza wakiawalenga watu wa sio na kipato cha uhakika kuja kununua. Hata ukiangal...

Latest Post