04
Mastaa na kundi la ndoa zisizodumu
Ndoa, ni muungano ulioidhinishwa kisheria na kijamii, kwa kawaida kati ya mwanamume na mwanamke hukubaliana kwa pamoja kuingia katika hatua hiyo pindi wamalizapo kujuana kwa k...
27
Dulla Makabila na Rushaynah ni wapenzi
Usiku wa kuamkila leo msanii wa singeli Dulla Makabila alikuwa na show Yombo ambapo alimpandisha ‘stejini’ aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah jambo ambalo lil...
02
Rushaynah hana mpango wa kuolewa kwa sasa
Aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah ameeleza kuwa kwa sasa hayupo tayari kuolewa na mwanaume yeyote yule. Rushaynah ameyaeleza hayo baada ya shabiki kumtakia kheri kwenye ...
18
Mastaa wamtaka Dulla Makabila aongee chochote
Kufuatia na video zinazosambaa mitandaoni zikimuonesha aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara na aliyekuwa mke wa Dulla Makabila, Zaylissa kuhusishwa kutoka kimapenzi, mastaa...
01
Rushaynah: Story mnazosikia kutoka kwa ex wangu sio za kweli
Akizungimza na vyombo vya habari nchini, aliyekuwa Ex wa #HajjiManara, #Rushaynah ameeleza kuwa kumuongelea Ex wako Kwa vibaya kwa watu wengine sio sawa. Aidha mwadada huyo am...
21
Rushaynah : Harmonize sio mpenzi wangu
Baada ya video na picha za aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah na Harmonize kusambaa kwenye mitandao ya kijamiii, huku wengi wakidai kuwa wawili hao huwenda wakawa wapenzi...

Latest Post