13
Jaji atupilia mbali kesi ya Drake
Baada ya kuhusishwa katika kesi ya vifo vya watu 10 vilivyotokea katika tamasha la Astroworld lililofanyika mwaka 2021, hatimaye Jaji Kristen Hawkins ametupilia mbali kesi hiy...
02
Album ya Tyla yazidi kukimbiza Billboard
Album ya mwanamuziki kutoka Afrika Kusini Tyla iitwayo ‘TYLA’ kwa mara ya kwanza imeshika namba moja kwenye chart za ‘Billboard World Album Chart’, huk...
26
Diddy bado yupo Marekani
Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
14
Titanic ya pili mbioni kutengenezwa
Bilionea maarufu kutoka nchini Australia, Clive Palmer (69) ameripotiwa kutaka kutengeneza meli mfumo sawa na Titanic iliyozama mnamo mwaka 1912 ikiwa na zaidi ya watu 2,200, ...
09
Gladness kuinua wanawake wenye vipaji
Mchekeshaji na muigizaji kutoka nchini Gladness Kifaluka maarufu kama Pili Wa Kitimtimu ameweka wazi kutaka kuinua wanawake wenye vipaji vya uchekeshaji.Gladness ameyasema hay...
08
Mwezi wa pili waweka rekodi kuwa na joto zaidi
Mwezi Februari 2024 wadaiwa kuweka rekodi mpya ya kuwa mwezi wenye joto zaidi duniani.Hata hivyo takwimu za hivi majuzi zilizotolewa na Copernicus, shirika la Umoja wa Ulaya a...
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
18
Posh Queen ampeleka Harmonize kanisani
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #Harmonize na mpenzi wake #PoshyQueeen leo wameelekea Kanisani kwa ajili ya ibada ya Jumapili licha ya kuwa msanii huyo ni muumini wa dini ya...
14
Manara: Valentine siyo ya kila mtu
Ikiwa leo ni sikukuu ya Wapendanao, aliyekuwa msemaji kwa ‘klabu’ ya yanga Haji Manara, ameeendeleza tambo zake katika siku hii ya leo na muda mchache uliopita ame...
05
Fainali kombe la dunia 2026, Kufanyikia New Jersey
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa fainali ya Kombe la Dunia la 2026 itafanyika kwenye Uwanja wa #MetLife  unaochukua mashabiki 82,500 katika mji wa East ...
30
Jinsi ya kutengeneza pilipili ya karoti kwa ajili ya biashara
Na Aisha Lungato Ni matumaini yangu  wazima wa afya, so tunandelea pale tulipoishia siku hizi waswahili tunasema hakuna kupumzuka, mpaka watuite matajiri, leo katika bias...
21
Snoop Dogg atupilia mbali bilioni 250 kuonesha sehemu za siri
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #SnoopDogg amedai kuwa alikataa ofa ya tsh 250 bilioni ambapo alitakiwa kuonesha sehemu zake za siri hadharani kwenye mtandao wa Only...
02
Pamba kali za kutupia ukiwa vacation
Mambo vipi, najua mko poa watu wangu wa Fashion kama kawaida tunakutana tena hapahapa katika magazine yetu ya Mwananchi Scoop kujuzana yanayojiri kwenye fashion. Leo tumekusog...
15
TPLB yatupilia mbali rufaa ya mchezaji aliyempiga mwenziye kiwiko
Kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imetupilia mbali rufaa ya ‘klabu’ ya #Yanga ya kutaka marejeo (review) ya adhabu ya mchezaji wao...

Latest Post