18
Aliyetamba na wimbo wa Jambo Bwana afariki dunia
Mwanamuziki wa Kenya Teddy Kalanda Harrison ambaye alipata umaarufu kupitia wimbo wa ‘Hakuna matata/Jambo bwana’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.Taarifa ...
14
Alikiba afunguka mipango ya kuupeleka muziki wake Kimataifa
Mwanamuziki Ali Saleh Kiba, maarufu Alikiba amefunguka kuhusiana na plani zake za kuupeleka muziki wake Kimataifa kama wasanii wengine kwa kuweka wazi kuwa anamipango wa kufan...
14
Jose Chameleone afunguka siri ya mafanikio yake
Mwanamuziki kutoka Uganda Joseph Mayanja maarufu Jose Chameleone amefunguka siri ya mafanikio yake yanayomfanya andelee kukubalika katika tasnia ya muziki kwa kuweka wazi kuwa...
12
Mwaka mmoja tangu Mohbad afariki dunia
Tarehe kama ya leo mashabiki wa aliyekuwa mwanamuziki nchini Nigeria Ilerioluwa Aloba, 'MohBad', waligubikwa na huzuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha msanii huyu kilicho...
12
Madudu afunguka tamthilia ya ‘Nazi Bubu’ kuwania tuzo Senegal
Tamthilia ya Tanzania iitwayo ‘Nazi Bubu’ imechaguliwa kuwania tuzo za Dakar International Drama Festival zitazotolewa...
10
Aliyemchoma moto Cheptegei afariki dunia
Dickson Marangach Aliyekuwa mpenzi wa mwanariadha wa Olimpiki wa Uganda, Rebecca Cheptegei amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.Marangach alifariki dunia akiwa katika Chumba c...
10
Enzi za uhai wake hakuchoka kuitumikia Tasnia ya filamu
Mwigizaji wa Marekani, James Earl Jones ambaye alipata umaarufu kupitia filamu kama ‘Coming to America’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93.Taarifa ya kifo c...
09
Miss Tz 2022 azungumzia tetesi za warembo kuuzwa kwa wanaume
Miss Tanzania 2022, Halima Kopwe ambaye aliiwakilisha nchi katika mashindano ya urembo duniani amekanusha tetesi zinazodai kuwa waandaaji wa shindano la urembo Miss Tanzania h...
07
Uwoya agoma kufuta tatoo hadi Roho Mtakatifu amwambie
Mwigizaji Irene Uwoya amesema licha ya kuingia kwenye maisha ya wokovu hawezi kufuta tatoo zilizopo mwilini mwake hadi Roho Mtakatifu atapomwambia.Uwoya ameyasema hayo leo Sep...
07
Faraja ya Tasnia ni zaidi ya tamasha, mastaa wanyoosha mikono juu
Mastaa mbalimbali nchini waliofika kwenye tamasha la Faraja ya Tasnia linalolenga kuwaenzi wasanii waliofariki dunia, wameonesha kuvutiwa na tamasha hilo ambalo limeanzishwa n...
06
Mawaziri kulinogesha tamasha la Faraja Ya Tasnia
Mawaziri watano sambamba na Mshauri wa Rais, Angellah Kairuki na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa wanatarajiwa kushiriki Tamasha la Faraja y...
06
Rapa Rich Homie afariki dunia
Rapa Rich Homie Quan (34) amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 5, 2024 na taarifa za kifo cha msanii huyo zilianza kusambaa mtandaoni, huku wasanii wenzake kama Boosie Badazz...
05
Mwanariadha aliyechomwa moto na mpenzi wake, afariki dunia
Mwanariadha kutoka Uganda wa mbio za Marathon, Rebecca Cheptegei amefariki dunia leo hii Septemba 5, 2024 wakati akipatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata baada ya kumwagiwa ...
04
Hivi hapa vipengele vya wanaowania tuzo za TMA
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...

Latest Post