24
Man U wamuwinda beki wa Inter Milan
Inadaiwa kuwa klabu ya #ManchesterUnited imepanga kuweka dau nono kwa ajili ya kumununua beki wa klabu ya #InterMilan, #AlessandroBastoni kabla ya dirisha la usajili msimu uja...
24
Megan atuhumiwa kwa unyanyasaji wa kihisia
Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi. Emil...
23
Bellingham apata tuzo ya mchezaji bora wa kiume
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, #JudeBellingham usiku wa kuamkia leo amepata tuzo ya mchezaji bora wa kiume katika tuzo za ‘Laures Sports Awar...
22
Man United wafanya maamuzi ya kumfukuza Ten Hag
Imeripotiwa kuwa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited tayari wameshafanya maamuzi juu ya ‘kocha’ wao  Erik ten Hag' ambapo atafukuzwa kazi hata kama watas...
19
Basata yazindua linki ya uwasilishaji kazi za wasanii
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limetangaza mfumo rasmi utakaotumika kuwasilisha kazi katika tuzo za muziki Tanzania (TMA). Akizungumza na waandishi wa habari, leo Aprili 1...
18
Ludacris akumbuka mchango wa Busta
Rapa kutoka nchini Marekani, Ludacris ametoa shukrani kwa #BustaRhymes kwani ndiyo mtu pekee aliyefanikisha atoke kimuziki. Kwa mujibu wa Daily Post News Luda ameweka wazi kuw...
18
Barcelona yamnyatia Dani Olmo
Uongozi wa #Barcelona tayari umeanza kufanya mazungumzo na ‘klabu’ ya #RBLeipzig kwa ajili ya kumchukua mchezaji wa ‘timu’ hiyo #DaniOlmo. Kiungo huyo ...
17
Wachezaji na shauku ya kujua hatma ya Ten Hag
Imeripotiwa kuwa baadhi ya wachezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited bado hawajafanya maamuzi ya kusaini mikataba mipya ‘klabuni’ hapo wakisubiri kujua...
15
Walker kuingia uwanjani tena
‘Kocha’ wa #ManchesterCity, #PepGuardiola amedokeza kuwa mchezaji wao #KyleWalker anaweza kurudi uwanjani kwa ajili ya mchezo wao  wa ‘ligi ya Mabingwa ...
14
PSG wa msaka mrithi wa Mbappe
Imeripotiwa kuwa viongozi wa ‘klabu’ ya #PSG wametua nchini Italia kuitafuta saini ya mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #InterMilan, #MarcusThuram kuziba peng...
04
Ozil aingia Gym baada ya kustaafu soka
Baada ya kustaafu ‘soka’ mwaka jana mchezaji #MesutOzil aliyekuwa akikipiga katika ‘timu’ ya taifa ya #Ujerumani na vilabu kama #RealMadrid na #Arsenal...
31
Afanya surgery ya sura afanane na paka
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani aliyefahamika wa jina la #JocelynWildenstein maarufu kama ‘Cat Woman’ amefanya upasuaji wa sura yake zaidi ya mara 24 ili awe...
27
Mainoo aonesha makali yake timu ya Taifa
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #KobbieMainoo amebuka kuwa nyota wa mchezo siku ya jana katika ‘timu’ yake ya Taifa #England baada ya kucheza...
20
Kocha Pep Guardiola amuomba radhi Phillips
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya #ManchesterCity #PepGuardiola amemuomba radhi mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ hiyo #KalvinPhillips kwa kusema kuwa kiun...

Latest Post