Inadaiwa kuwa klabu ya #ManchesterUnited imepanga kuweka dau nono kwa ajili ya kumununua beki wa klabu ya #InterMilan, #AlessandroBastoni kabla ya dirisha la usajili msimu uja...
Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi.
Emil...
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, #JudeBellingham usiku wa kuamkia leo amepata tuzo ya mchezaji bora wa kiume katika tuzo za ‘Laures Sports Awar...
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limetangaza mfumo rasmi utakaotumika kuwasilisha kazi katika tuzo za muziki Tanzania (TMA).
Akizungumza na waandishi wa habari, leo Aprili 1...
Rapa kutoka nchini Marekani, Ludacris ametoa shukrani kwa #BustaRhymes kwani ndiyo mtu pekee aliyefanikisha atoke kimuziki.
Kwa mujibu wa Daily Post News Luda ameweka wazi kuw...
Uongozi wa #Barcelona tayari umeanza kufanya mazungumzo na ‘klabu’ ya #RBLeipzig kwa ajili ya kumchukua mchezaji wa ‘timu’ hiyo #DaniOlmo.
Kiungo huyo ...
Imeripotiwa kuwa baadhi ya wachezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited bado hawajafanya maamuzi ya kusaini mikataba mipya ‘klabuni’ hapo wakisubiri kujua...
‘Kocha’ wa #ManchesterCity, #PepGuardiola amedokeza kuwa mchezaji wao #KyleWalker anaweza kurudi uwanjani kwa ajili ya mchezo wao wa ‘ligi ya Mabingwa ...
Imeripotiwa kuwa viongozi wa ‘klabu’ ya #PSG wametua nchini Italia kuitafuta saini ya mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #InterMilan, #MarcusThuram kuziba peng...
Baada ya kustaafu ‘soka’ mwaka jana mchezaji #MesutOzil aliyekuwa akikipiga katika ‘timu’ ya taifa ya #Ujerumani na vilabu kama #RealMadrid na #Arsenal...
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani aliyefahamika wa jina la #JocelynWildenstein maarufu kama ‘Cat Woman’ amefanya upasuaji wa sura yake zaidi ya mara 24 ili awe...
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #KobbieMainoo amebuka kuwa nyota wa mchezo siku ya jana katika ‘timu’ yake ya Taifa #England baada ya kucheza...