07
Mtihani wa kwanza kwa Mbosso nje ya WCB ni huu!
Kiu ya mashabiki wengi wa Bongofleva kwa sasa ni kuona Mbosso anakuja vipi na kazi yake ya kwanza baada ya kuachana na WCB Wasafi, rekodi lebo yake Diamond Platnumz ambayo kaf...
07
Whitney Houston In Focus Yaibua Mengi
Dokumentari iliyopewa jina la 'Whitney Houston in Focus' imeibua mengi kuhusu mwanamuziki huyo wa Soul, RnB na Pop kutokea Marekani ikielezea maisha yake kabla ya ku...
07
Chuchu Hansy: Nipo njia panda kuolewa na Ray
Mwigizaji wa filamu nchini, Chuchu Hansy anaonesha kubaki njia panda kila linapokuja suala la kuolewa na mwigizaji  Ray Kigosi. Akizungumza na Mwananchiscoop, Chuchu ames...
06
Mama Carina Afariki Dunia, Apishana Siku 40 Na Mwanaye
Fatma Maruzuku ambaye ni mama mzazi wa Marehemu Hawa Hussen (Carina), amefariki dunia leo June 06,2025 jijini Dar es Salaam.Kaka wa Marehemu amethibitisha kutokea kwa msiba hu...
06
Listi Ya Wasanii D Voice Atakaowasaini Kwenye Lebo Yake
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini ambaye pia ni mkali wa Singeli, D Voice amewataja wasanii ambao anatamani kuwasaini endapo ataanzisha lebo ya Singeli.Wakati alipokuwa kwenye...
06
Michael B. Jordan Aukubali Ushauri Wa Washington
Mwigizaji Michael B. Jordan ameeleza kuwa moja ya jambo ambalo analikumbuka siku zote ni ushauri alioupokea kutoka kwa Denzel Washington ambapo alimsihi kuepuka mitandao ya ki...
06
Hii Ndio Maana Ya RN3 Ya Mbosso
Baada ya kuwepo kwa tetesi katika mitandao ya kijamii kuwa mwanamuziki Mbosso naye anatarajia kuoa kufuatia na hastag ya ‘RN3’ aliyoiweka katika Instagram yake. Ha...
06
Jaji Ambadilikia Diddy Mahakamani
Jaji wa shirikisho anayeongoza kesi ya ya usafirishaji wa binadamu kwa ajili ya ngono dhidi ya Sean "Diddy" Combs, Jaji Arun Subramanian alimbadilikia msanii huyo na majaji wa...
05
Sajent akanusha kuhusika ishu ya Paten kushindwa kutumbuiza
Baada ya kuwepo kwa mijadala katika mitandao ya kijamii kuhusiana na msanii wa singeli Dogo Paten kushindwa kutumbuiza kutokana na sauti yake kuleta shida huku msanii mwenzake...
05
Utajiri Wa Rihanna Wapungua Kwa Kiasi Kikubwa
Mkali wa Pop kutoka katika visiwa vya Barbados, Rihanna ameripotiwa kuwa utajiri wake umepungua kwa kaisi kikubwa kutokana na baadhi ya miradi yake ya kibiashara kutofanya viz...
05
Shahidi Mwingine Adai Diddy Alimrushia Kisu Cassie
Mambo yanazidi kuwa magumu kwa mkali wa Rap kutoka Marekani, Sean "Diddy" Combs, hii ni baada ya mbunifu wa mitindo Bryana Bongolan, ambaye ni rafiki wa karibu (BFF) wa Cassie...
05
Yammi Alilipa Sh100 Milioni Kuondoka The African Princess
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Yammi ameweka wazi kuwa amelipa kiasi cha Sh100 milioni kuondoka katika lebo ya ‘The African Princess’ inayomilikiwa na msanii Na...
04
Simi: Mtoto Wangu Haitwi Duduke
Mwanamuziki kutoka Nigeria amewataka mashabiki zake kuacha kumuita mtoto wake wa kike ‘Duduke’.Wakati alipokuwa kwenye mahojiano na ‘VJ Adams’ Simi ame...
04
Ishu Ya D Voice Na Meja Kunta Ilikuwa Hivi
Msanii wa Singeli nchini D Voice, ameweka wazi tuhuma alizopewa na msanii mwenzake Meja Kunta kuhusu kumuibia wimbo 'Ex wa Nani' na kumpatia JuxD Voice amesema wimbo...

Latest Post