12
Upo umuhimu wa kutengeneza Documentaries kwa wasanii
Sekta ya muziki nchini Tanzania imekuwa kwa asilimia kubwa katika miaka ya hivi karibuni, huku baadhi ya wasanii kama Diamond, Harmonize, Zuchu, Jaiva, Nandy, Jay melody na we...
13
Serikali kukuza ajira kwa vijana, Sekta ya sanaa na burudani
Serikali imeweka wazi kuwa inampango wa kukuza ajira kwa vijana katika sekta ya michezo, sanaa na burudani. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Juni 13, 2024 na Waziri wa Fedha, Dk Mw...
16
Wachezaji ndiyo wamezomewa Bandarini Dar es salaam
Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kufanyika kwa pambano la Dabi ya Kariakoo, leo kikosi cha Simba kimeanza safari kwenda Zanzibar huku kikizomewa na mashabiki wa Yanga. Baada...
02
Umuhimu wa kuchukua likizo kazini
Na Aisha Lungato Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2008 kifungu namba 31 ibara (1) imeeleza kuwa Mwajiri atatakiwa kutoa likizo kwa mfanyakazi angalau...
18
Umuhimu wa mkataba kazini
Niaje niaje wanangu sana, I hope mko guudi kabisa, leo sitowachukulia muda wenu kwa sababu najua wengi wenu mtakuwa mmefunga so manahitaji kupewa vitu laini laini, Leo kwenye ...
12
Umuhimu wa logo kwenye biashara yako
  Na Aisha Lungato Mamboz! Siyo kila siku tufundishane kupika jamani lazima kubadilika na kuelekezana mambo tofauti ambayo pia yanaweza kukuza biashara yako, leo niko na ...
30
Umuhimu wa Lipstick kwenye midomo yako
Naam!! kama kawaida yetu tunakaribishana tena katika ulimwengu wa Fashion ili uweze kujua  urembo na mitindo mbalimbali inayobamba kwa sasa katika fashion. Leo katika fas...
28
Kocha mpya Simba atinga na mambo matano
Kama tunavyojua ‘Klabu’ ya Simba kwa sasa bado haina furaha baada ya juzi kuendeleza ilipoishia kwa kuanza kinyonge Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi ikilaz...
18
Umuhimu wa matamasha ya sanaa kwa wanavyuo
Na Magreth BavumaMambo niaje wanangu ni wiki nyingine tena niwakaribishe kwenye kona yetu pendwa ya wanavyuo “unicorner” chimbo moja tu ambalo wanavyuo tunakutanis...
09
Mfahamu binti mwenye aleji na maji, Akioga hutokwa damu
Inafahamika kuwa maji muhimu katika maisha ya kiumbe hai, kwa mimea yanahitajika kwa kiasi kikubwa, wanyama na hata binadamu pia kwani hutumia kama kinywaji na katika matumizi...
06
Umuhimu wa kuwa single chuoni
Na Magreth Bavuma Ouyah eeeeh niaje niaje, karibuni tena kwenye segment yetu pendwa ya dunia ya wanavyuo “unicorner” sehemu moja tu tunayo elimishana juu ya m...
15
Faida ya vyama vya wafanyakazi
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendelee, najua kabisa huko mtakuwa mmeitikia kimoyo moyo wanangu sana, sasa hapa namaanisha kazi iendelee haswaa...
26
Umuhimu wa kuchunguza familia kabla hamjafunga ndoa
Mila na desturi zetu zilikuwa zikihimiza, kabla ya vijana hawajaamua kuingia kwenye ndoa, ilikuwa ni lazima wazazi kufahamu familia ambayo kijana wao au binti yao anataka kuin...
23
Umuhimu wa mazoezi katika kuimarisha afya yako ya akili chuoni
Magreth Buvuma Niaje niaje wakuu, karibu tena kwenye session yako pendwa kabisa ya Uncorner, na sehemu ni moja tu ambayo tunapiga story huku tukijifunza mambo mbalimbali yanay...

Latest Post