Kesi inayomkabili mwanamuziki wa bongo fleva Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula iliyotakiwa kusikilizwa Machi 18 na 19, ya madai ya Sh550 milion imepigwa kalenda katika M...
Krystyna Pyszková(24) Miss Czech Republic 2022, ndiye mshindi wa taji la Miss World 2024 shindano ambalo lilifanyika Mumbai, India usiku wa kuamkia leo, huku nafasi ya ...
Msimu wa 71 wa shindano la kumpata mlimbwende wa dunia (Miss World) ulianza rasmi Februari 18, 2024, na utaendelea kwa siku 21 na kufikia tamati Machi 9 nchini India.
Washirik...
Hatimaye Dj Misso Misondo na wazee wa makoti wamefika kwa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Chris Brown.
Hii ni baada ya nyota huyo wa muziki ku-share video ya wazee wa makot...
Kwenye tasnia ya burudani anaye-trend sasa ni DJ Misso Misondo ambaye kwa sasa ‘upepo’ umemgeukia na kila kona unayopita lazima utamsikia,'Umepigaje hapo'. Misso a...
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani Erica L. Carrington amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutembea kama miss katika mazishi ya mbunifu mwenzake Vernest Moore wa...
Muandaaji wa miss Rwanda Dieudonne Ishimwe maarufu kama Prince Kid amefungwa miaka 5 kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono kwa mabinti wanaoshiriki mashindano hayo.
Hatua hiyo ...
Hatimaye kati ya warembo 20 waliokuwa wakishindania Taji la Miss Tanzania, mrembo Tracy Nabukera, ameibuka kidedea kwa kuondoka na taji hilo, ambalo alivalishwa na aliyekuwa M...
Wakati Miss Tanzania wakiendelea kujichua na mashindano, hatimae waandaaji wa mashindano ya ulimbendwe Duniani (Miss World) wameweka wazi fainali za mwaka huu zitafanyika Dese...
Shindano kubwa la urembo nchini, la Miss Tanzania limeanza rasmi kwa Warembo 20 wanaowakilisha maeneo mbalimbali kuingia kambini siku ya jana. Maisha halisi ya Warembo hao ka...
Tume ya biashara ya shirikisho (Federal Trade Commission) nchini Marekani imedai kuanzia 2015 hadi 2020 Microsoft ilikusanya taarifa binafsi za watoto wa chini ya miaka 13.
Am...
Na Asha Charles
Hahahah! Make hapa kwanza ncheke, ama kweli hali ngumu basi bwana unaambiwa bibi aliejuliakana kwa jina la Bonnie Gooch mwenye umri wa miaka 78, ameshtakiwa kw...
Aloooooh! Nawasalimu kwa jina la miss IFM huhuhu! Leo bwana kwenye ile segment yetu pendwa ya UNICORNER ambayo tunakupa burudani na mambo yote yanayojiri katika vyuo vikuu, tu...