27
Amitabh Bachchan asimulia alivyokutana na MJ
Mwigizaji mkongwe wa Bollywood Amitabh Bachchan amesema alitaka kuzimia baada ya kukuana kwa mara ya kwanza na marehemu Michael Jackson ‘MJ’.Amitabh ameyasema hayo...
19
Video fupi ya MJ yafikisha watazamaji bilioni 1
Video fupi ya marehemu mwanamuziki Michael Jackson (MJ) kutoka Marekani iitwayo ‘Thriller’ imefikisha watazamaji (views) bilioni 1 katika mtandao wa YouTube.Filamu...
05
Harakati za MJ mfalme wa pop anayetamba hadi leo
Ikiwa leo ni Septemba 5 2024, Alhamisi ya 36 tangu kuanza kwa mwaka huku zikiwa zimebaki siku 117 kuumaliza mwaka.Upande wa TBT tunamuangazia mwanamuziki Michael Jackson, maar...
29
MJ aacha deni sh 1.3 Trillion, familia yaombwa kulilipa
Mfalme wa Pop kutoka Marekani Michael Jackson ameripotiwa kuacha deni la dola 500 milioni ikiwa ni sawa na Sh 1.3 Trilioni Mahakama Kuu ya Kaunti ya Los Angeles imesema.Kwa mu...
18
Fat Joe: Chris Brown asingejihusisha na mapenzi angekuwa kama MJ
‘Rapa’ mkongwe kutoka nchini Marekani, #FatJoe amedai kuwa #ChrisBrown asingejiingiza kwenye mapenzi angekuwa kwenye kiwango sawa na marehemu #MichaelJackson. Joe ...
29
Sokwe wa MJ sasa ana miaka 40
Sokwe maarufu wa marehemu mkali wa Pop Michael Jackson, aitwaye Bubbles ameripotiwa kufikisha miaka 40 ambapo kwasasa anatunzwa katika kituo cha kulea wanyama cha Apes Wauchul...
23
Aliyekuwa mkwe wa Bob Marley atunukiwa tuzo na Apple music
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani ambaye pia alikuwa mpenzi wa mtoto wa Bob Marley, Rohan Marley, Lauryn Hill ametunukiwa tuzo ya heshima na ‘Apple Music’ ...
02
Rayvanny ajiita Michael Jackson wa Afrika
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Rayvanny maarufu Chui amejiita Michael Jackson wa Afrika Mashariki baada ya mapokezi makubwa aliyoyapata alivyotua nchini Burundi kwa ajili ya kuf...
22
Mama mzazi wa MJ apata urithi wake
Baada ya mama mzazi wa marehemu mfalme wa Pop Michael Jackson, Katherine Jackson (93) kukata rufaa dhidi ya wasimamizi wa mali za MJ, hatimaye wasimamizi wa mali hizo wamemkab...
21
Mali za MJ zasababisha mgogoro kwa familia
Familia ya marehemu mfalme wa Pop kutoka nchini Marekani Michael Jackson (MJ) imeripotiwa kuwa na mgogoro wa mali baada ya mtoto wa mwisho wa MJ, Bigi Jackson maarufu kama MJ ...
01
Michael Jackson alipokutana na hayati Mwinyi Dar
Kwenye picha ni hayati Mzee Mwinyi akiwa na mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson alipotembelea nchini Tanzania mwaka 1992.Michael alifika Tanzania siku ya Jumatano, Februar...
15
Michael Jackson apata wakufanana naye
Kutokana na kuwepo kwa mpango wa kutengenezwa  filamu ya mfalme wa Pop Michael Jackson (MJ) huku akisakwa mtu ambaye atafanana na kuwa na miondoko kama msanii huyo, hatim...
10
Sony music wanunua nusu ya kazi za MJ
Kampuni ya muziki kutoka nchini Marekani ‘Sony Music’ imeripotiwa kununua asilimia 50 ya nyimbo za marehemu Mfalme wa Pop Michael Jackson.Dili hilo limekamilika kw...
06
Rayvanny ndani ya studio ya MJ
Baada ya kuhudhuria na kushuhudia ugawajwi wa Tuzo za Grammy 66, zilizofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili, mwanamuziki Rayvanny ameendeleza ziara yake nchini humo na sas...

Latest Post