22
Mtoto wa Kanye aingia kwenye chati za Billiboard 100
Mtoto wa ‘rapa’ Kanye West, North West amefanikiwa kuingia kwa mara ya kwanza kwenye chati za Billboard 100, kufuatiwa na ngoma aliyoshirikishwa na Baba yake ya &l...
25
Kim Kardashian ampa shavu Neymar
Mfanyabiashara kutoka nchini Marekani Kim Kardashian ampa shavu mchezaji kutoka ‘timu’ ya Al Hilal ya Saudi Arabia Neymar ya kutangaza bidhaa za nguo. Neymar alion...
23
Elon aishauri Wikipedia kubadili jina
Mfanyabiashara na tajiri mkubwa duniani Elon Musk amewashauri wamiliki wa mtandao wa Wikipedia kubadilisha jina lao huku akidai atawapatia ofa ya zaidi ya dola bilioni moja. E...
10
Utanashati ulifanya mjukuu wa Mwaikibaki akose pesa
Mwanamitindo na mfanyabiashara ambaye pia ni mjukuu wa Hayati Mwaikibaki, Sean Andrew, amefunguka na kuweka wazi kuwa aliwahi kukataliwa kufanya tangazo kisa utanashati (uzuri...
10
Kylie Jenner aungwa mkono na shirika la Israel
Baada ya baadhi ya watu kuchukiza na kitendo cha  mfanyabiashara Kylie Jenner kwa kuonekana akiiunga mkono nchi ya Israel hatimaye amepata utetezi kutoka kwa mashirika ya...
12
Akon: Kama unamawazo ya kumiliki ndege binafsi yafute haraka
Mwanamuziki mkongwe na Mfanyabiashara kutoka nchini Marekani  #Akon amefunguka kuhusu uzoefu wake wa kumiliki ndege binafsi, kwa maoni yake anadai kuwata wenye mawazo na ...
01
Mrembo akatiza barabarani akigawa pesa
Mwanadada mfanyabiashara wa nywele za bandia kutoka nchini Nigeria aamua kukatiza barabarani kutoa zawadi ya pesa kwa vijana waliyokuwepo pembezoni mwa barabara hiyo. Mrembo h...
23
Barbara sasa ni mama J
Mfanyabiashara na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa ‘klabu’ Simba SC Barbara Gonzalez kupitia ukurasa wake wa Instagram ameonesha picha akiwa na mtoto huku akindika, ...
27
Kylie Jenner ajutia kufanya Surgery
Mrembo na mfanyabiashara kutoka nchini Marekani @kyliejenner amekiri kuwa alifanya upasuaji wa matiti alipokuwa na umri wa miaka 20 na anajutia kufanya hivyo wala hatamani bin...
26
Rostam adhamiria kuwekeza Zambia
Mfanyabiashara kutoka Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa katika gesi ya Liquefied Petroleum Gas (LPG) nchini Zambia, ambao utakuwa...
10
Mfanyabiashara ashtakiwa kwa kuwasilisha nyaraka za uongo TRA
Jackson Mali mfanyabiashara kutoka mkoani Songwe amefikishwa mahakamani akidaiwa kuwasilisha nyaraka za uongo TRA, kwa kujihamishia umiliki wa magari kinyume cha sheria. Pia a...
16
Ijue tofauti kati ya Mjasiriamali na Mfanyabiashara
Hellow wanangu wa Mwananchi Scoop. I hope mko good kabisa. Leo bwana katika biashara, nimekujia na jambo muhimu ambalo unatakiwa kulifahamu wewe mjasiriamali na mfanyabiashara...

Latest Post