13
Taylor Swift akataa kulipwa tsh 23 bilioni
‘Rapa’ kutoka nchini Morocco French Montana amedai kuwa mwanamuziki na bilionea Taylor Swift alikataa kufanya show katika sherehe binafsi za Falme za Kiarabu ambap...
04
Beki wa kaizer Cheifs auawa kwa kupigwa risasi
Beki wa Kaizer Cheifs mwenye miaka 24, Luke Fleurs ambaye alijiunga na ‘timu’ hiyo akitokea SuperSport United Oktoba mwaka jana, amepigwa risasi na kuuawa wakati w...
03
Tyson atarajia kupata mtoto wa nane
Bondia maarufu kutoka nchini Uingereza #TysonFury, ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa nane na mkewe #ParisFury. Fury ameweka wazi suala hilo kupitia ukurasa wake wa ...
14
Usher ndiye msanii wa kwanza kulipwa na NFL
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #UsherRaymond ameripotiwa kuwa ndiye msanii wa kwanza kulipwa na NFL ambapo alilipwa dola 671 sawa na tsh 1.7 milioni baada ya kutumbuiza kw...
10
Saudia hawana ubahili kwenye soka
Muanzilishi wa kampuni ya ‘FutBolJobs’ Valentin Botella Nicolas, kutoka nchini Saudi Arabia amepanga kusajili wachezaji wapya kwa ajili ya ‘ligi’ daraj...
20
Eric akubali kuonesha sura ya mwanaye baada ya kulipwa zaidi ya tsh 80 milioni
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi amedai kuwa anatarajia kufichua sure ya mtoto wa kike aitwaye Kyla baada ya kulipa zai...
08
Mwakinyo kuingia ulingoni Zanzibar
Licha ya kufungiwa mwaka mmoja na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania Bara (TPBRC), bondia Hassan Mwakinyo ameibukia visiwani Zanzibar na anatarajiwa kuingia ulingoni Novem...
15
Mandonga afungiwa kushiriki ngumi
Baada ya bondia #KareemMandonga kuingia ulingoni mfululizo bila kupata mapumziko ambayo yataweza kumuweka ‘fiti’ kwaajili ya mapambano mengine, bondia huyo hatoshi...
12
Arrogant kulipwa zaidi ya milioni 12, kumtengeneza mtu nywele
Mwanamitindo wa nywele Arrogant Tae kutoka nchini Marekani , ambaye amekuwa akijihusisha na utengengenezaji wa nywele za baadhi ya watu maarufi duniani akiwemo, Nicki Minaj, n...
02
Eric ataka kulipwa zaidi ya 85 milioni ili aoneshe sura ya mtoto wake
Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya watu maarufu kuficha sura za watoto wao mara baada ya kuzaliwa, kama ilivyojitokeza kwa baadhi y...
04
Mtoto wa Mugabe ataka kulipwa million 6 kwa ajili ya child support
Mtoto wa Kike wa Aliekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Bona Ouma Mugabe katika madai ya talaka ametaka kupatiwa hela ya matumizi ya watoto Milioni 6.3 kwa watoto...
06
Poland yataka kulipwa fidia na Ujerumani kutokana na uharibifu uliotokea katika vita ya pili vya dunia
Serikali ya Poland inataka kuongeza shinikizo dhidi ya Ujerumani kuhusu suala la kulipwa fidia ya vita vya pili vya dunia. Kwa muj...
30
Kim Kardashian kulipwa zaidi ya million 466 kwaajili ya matumizi ya watoto
Mwanamitindo maarufu nchini Marekani, Kim Kardashian na Rapper Ye (Kanye West) wamefikia makubaliano ya pamoja ya talaka yao ambay...
15
Waathirika wa ajali ya Precision Air kulipwa fidia kwa siri
Mkurugenzi wa Shirika la Precision Air, Patrick Mwanri, amesema mchakato wa malipo utakuwa kati ya familia za waliothirikana ajali ya ndege na utafanyika kwa umakini mkubwa. &...

Latest Post