28
Portable: Muziki unalipa kuliko mpira
Msanii kutoka Nigeria Habeeb Okikiola ‘Portable’ amefunguka kwa kudai kuwa muziki unalipa kuliko mpira wa miguu huku akishangazwa na wanaodai kuwa wachezaji mpira ...
01
Pisi kali zinataka nini
Yaani hazieleweki zinataka nini au zinataka mwanaume wa aina gani. Mambo ya siksi paki, sijui urefu, sijui ujentlomani, sijui manini nini sijui. Tunawaka rasmi sasa msimamieni...
15
Calisah: Siwezi kuwa na mwanamke aliyenizidi kipato
Mwanamitindo kutoka nchini #Calisah amesema kuwa hawezi kuwa na mwanamke aliyemzidi kwa kila kitu hususani katika kipato. Akiwa katika mahojiano na mmoja ya chombo cha habari ...
01
Utafiti: Wanawake walio single wanamiliki nyumba kuliko Wanaume
Utafiti uliofanywa na PEW Research Centre, nchini Marekani unaonesha kuwa wanawake wasio na wanaume (Single) nchini humo wanamiliki idadi kubwa zaidi ya nyumba ikilinganishwa ...
09
Mfahamu ng’ ombe mfupi kuliko wote duniani
Kama unadhani duniani umeona kila kitu, utakuwa unajiongopea kwani kila siku yanaibuka mambo mpya huku yapo ya zamani pia ambayo bado huyafahamu. Katika ulimwengu ni nadra san...
07
Seaun adai Nigeria wamewekeza zaidi kwenye muziki sio elimu
Mwanamuziki mkongwe nchini #Nigeria, #SeunKuti amedai kuwa muziki wa Nigeria unafanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu wamewekeza pesa nyingi kwenye muziki na sio elimu. Kwa mu...
24
Rick Ross awashauri mashabiki kuchagua kukutana na Jay Z
Baada ya Jay Z kuwashauri watu kuchagua pesa kuliko kuonana na yeye, kwa upande wa ‘rapa’ kutoka Marekani Rick Ross imekuwa tofauti kwake ameeleza ni bora kupata c...
04
Boateng : Nilishinikizwa kusema Messi ni bora kuliko Ronaldo
Mchezaji wa zamani wa ‘soka’ nchini Germany ambaye pia aliwahi kuchezea ‘timu’ ya taifa ya Ghana Kevin-Prince Boaten amefunguka na kudai kuwa aliwahi k...
13
Manara: Napenda mpira kuliko ninavyopenda kuoa wadada warembo
Aliyekuwa msemaji wa ‘klabu’ ya Yanga, Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza hisia zake kuhusiana baada ya kukosa kutazama ‘mechi’ liv...
02
Muna: Watu waache kwenda na upepo wa marehemu, Wanalia kuliko familia
Mwanadada Muna Love ametupa dongo kwa baadhi ya waombolezaji wa msiba wa Hitham wanaoendelea ku-post kwenye mitandao ya kijamii wa...
14
Madee: Nina kila sababu ya kusema yanga bingwa msimu huu
Baada ya ‘klabu’ ya #Yanga kuchapwa mikwaju mitatu ya ‘penati’ na #Simba siku ya jana Tanga katika uwanja wa Mkwakwani, wakati wa kutafuta mshindi wa N...
08
Diva: Nina mawigi mengi kuliko sufuria za kupikia
Baada ya kuwa na story nyingi kuhusiana na mtangazaji maarufu nchini Diva kuto badilisha ‘wigi’, hatimaye amevunja ukimya na kuweka sawa jambo hilo, wakati akifany...
01
Mrembo anayekula toilet paper
Kila mtu huwa na uraibu wake ambao kwa upande wake huona ni sawa lakini kwa watu wengine huutazama uraibu huo kama kitu cha ajabu, kuna wale wanaopenda kula, kucha, udongo na ...
26
Video ya wimbo wa Enjoy imefutika
Star wa muziki nchini Diamondi kupitia #Instastory yake ame-share ujumbe akieleza kuwa wimbo alioshirikishwa na Jux #Enjoy, material ya video ya wimbo huo yamefutwa. Ujumbe wa...

Latest Post