04
Sababu, filamu ya Gabo Safari ya Gwalu kuchaguliwa Korea
Ikiwa imepita siku moja tangu mwigizaji kutoka nchini Salim Ahmedy ‘Gabo Zigamba’ kuchapisha picha kupitia ukurasa wake wa Instagram ikionesha filamu yake ya &lsqu...
24
Megan atuhumiwa kwa unyanyasaji wa kihisia
Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi. Emil...
18
Faida ya wafanyakazi kujifunza huduma ya kwanza
Na Aisha Lungato Katika maisha ya kawaida mambo hatari yanayoweza kusababisha mtu kupoteze maisha ni pale anapokosa msaada wa huduma ya kwanza pindi anapokabiliwa na ugonjwa a...
02
Utunzaji wa ngozi kwa wanaume
Aisha Charles Hello guys! acha nikusalimu kwa jina la fashion. Leo tumeingia kwa undani zaidi katika masuala ya urembo, tumekusogezea jinsi ya kutunza ngozi kwa wanaume. Hivi ...
05
Kesi ya ubakaji ya mwanasoka kusikilizwa leo
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #Barcelona na #PSG, #DaniAlves anatarajia kufikishwa Mahakamani leo Jumatatu, Februari 5,2024  mjini  Barcelona kwa tuhu...
11
Sancho atambulishwa Dortmund
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na mchezaji wa Manchester United, Jadon Sancho kurudi kwenye ‘timu’ yake ya zamani kwa mkopo hatimaye ‘klabu’ hiyo ya ...
11
Baba yake Mohbad adai kutishiwa maisha na mkwewe
Baba wa marehemu mwanamuziki Mohbad kutoka nchini Nigeria kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni ameeleza kuwa aliyekuwa mke wa Mohbad, Wunmi na wakili wake wanatishia kumuua...
21
Maokoto yamliza muigizaji taraji
Muigizaji kutoka nchini #Marekani Taraji P. Henson aangua kilio katikati ya mahojiano baada ya kuulizwa kuhusiana na kufikiria kuacha kufanya kazi ya uigizaji na kudai kuwa hu...
29
50 Cent audhihaki muonekano wa Madonna
‘Rapa’ mkongwe kutoka nchini Marekani, #50Cent inadaiwa kuwa ameudhihaki muonekano wa mwanamuziki #Madonna kwa kumcheka baada ya ‘kumposti’ katika ukur...
19
Wasanii wamcheka Makabila baada ya kuachwa
Baada ya msanii wa singeli nchini Dulla Makabila kushusha ujumbe kuhusiana muda aliopoteza kwenye mapenzi na jinsi anavyoumizwa kwa kuachana na mkewe. Kitendo hicho kimewafany...
18
Young Dee na Dj AllyBi kwenye ngoma moja
Baada ya ukimya wa mwaka mmoja tangu msanii wa #Hiphop #youngdaresalama kuachia wimbo wake binafsi, ulioenda kwa jina la usiyempenda kaja, sasa msanii huyo amerudi kwenye game...
29
Fahamu zaidi kuhusiana na uzazi wa mpango
Heeeey! I hope mko well, am here kuelekezana kuhusiana na maswala mazima ya Afya hususani ya wanawake, maana wengi wenu mnanitambua kama Madam hedhi salama, sasa leo katika to...
28
Fahamu zaidi kuhusiana na kufanya biashara ya vinjwaji
Mambo vipi ni matumaini yangu mko good kabisa, sasa leo kwenye biashara tumekusogezea kitu konki kabisa. Weeeeh! Kuna baadhi ya watu wanalinifata niwaeleze kuhusiana na biasha...
21
Nape aeleza kuhusiana na mabadiliko ya bei za bando la internet
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hakutakuwa na mabadiliko ya bei za bando yoyote hadi tathmini ya gharama itakapokamilika.Tathmini hi...

Latest Post