22
Nyuma Ya Pazia John Legend Kufanya Kazi Na Lauryn Hill
Peter AkaroMwanamuziki wa Marekani, John Legend (46) amesema kipindi anarekodi na Lauryn Hill (46) alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuu na hakutegemea kama kazi hiyo ingejumuis...
05
Kuwa Gerezani Hakumzuii Tory Lanez Kufanya Yake
Rapa wa Canada, Tory Lanez ametangaza ujio wa album yake ya 'Peterson' inayotarajiwa kutoka March 7, 2025 aliyoiandaa akiwa gerezani. Licha ya kufungwa kwake, Lanez anaendelea...
04
Zingatia haya unapotaka kufanya biashara ya mchele
Uuzaji wa mchele ni moja biashara zenye faida kubwa. Kutokana na bidhaa hiyo kutumiwa na watu wengi mara kwa mara. Ikiwa unampango wa kuanzisha biashara hiyo, kuna mambo muhim...
26
Sababu Tuzo za Trace kufanyika Zanzibar
Unaweza kusema ni bahati ya kipekee iliyoishukia Tanzania kwa mara nyingine tena. Achana na mashindano ya AFCON 2027 ambayo pia yatafanyika Tanzania. Kwa sasa ni tukio la buru...
19
Jose Chameleone Kufanyiwa Upasuaji Leo
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
04
Whatsapp Kuacha Kufanya Kazi Kwenye Simu Hizi!
Mtandao unaokubalika zaidi duniani kote wa WhatsApp umetangaza kuacha kufanya kazi katika simu za zamani za Android ambazo hazipati Updates za mfumo mpya unaofanyika kila mwak...
13
2025 Kufanya Kazi Mwisho Alhamisi
Serikali ya Tokyo nchini Japan inampango wa kuweka ratiba mpya ya kazi ifikapo mwaka 2025 ambapo wafanyakazi wote wa serikalini wataingia kazini siku nne tu ndani ya wiki huku...
23
BASATA na mchakato wa kufanya marekebisho kwenye kanuni zake
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) chini ya katibu mkuu Kedmon Mapana ameeleza kuwa wapo katika mchakato wa kufanya marekebisho kwenye kanuni zake.Marekebisho haya yanakuja baa...
13
Arsenal, Calafiori ni suala la muda tu
Imeripotiwa kuwa, Arsenal inakaribia kufikia makubaliano ya kumnunua beki wa Italia na Klabu ya Bologna, Riccardo Calafiori. Aidha inaelezwa kuwa, Bologna imeweka dau la pauni...
10
Kanye West atangaza kustaafu muziki
Mwanamuziki wa hip-hop kutoka nchini Marekani, Kanye West ametangaza kustaafu muziki huku akidai kuwa hana uhakika wa kufanya kitu kingine kinachohusiana na muziki. Kanye mwen...
08
Fanya haya kutengeneza sauti yako kwa ajili ya kuimba
Zipo imani nyingi juu ya kutunza sauti kwa ajili ya uimbaji, wapo mwanaodai kuwa mayai na asali ni kati ya vitu muhimu katika kuboresha sauti ili iwe na mvuto. Sambamba na hay...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
04
Hiki ndiyo kimemfanya Barnaba kuhamia kwenye filamu
Mwanamuziki Barnaba Classic ambaye kwa sasa ni mwigizaji wa filamu ya Mawio inayorushwa Azam Tv amesema kuwa kabla ya kuanza muziki alikuwa mwigizaji “Nilikuwa mwigizaji...
04
Mocco Genius anavyobadilika kama kinyonga kwenye ngoma zake
Kawaida ubunifu ndiyo kitu kinachotofautisha mtu mmoja na mwingine katika kazi ya sanaa hasa katika muziki ambapo kila msanii anatamani kuwa bora kuliko mwenzake. Wapo ambao w...

Latest Post