07
Harmonize: Ibraah siyo msanii wangu
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize ameendelea kummwagia sifa mwanamuziki Ibraah huku akidai kuwa Ibraah siyo msanii wake bali ni kaka yake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-...
15
Ibraah adai anapitia maisha magumu kwenye sanaa
Mwanamuziki Ibraah ameweka wazi kuwa anapitia maisha magumu kwa sasa kwenye upande wa sanaa, bila kusema kinachopelekea apitie hayo, Ibra amedai anawapenda sana mshabiki wake ...
11
Hatimaye Ibraah anatarajia kurudi mjini
Baada ya first born wa Konde Gang, Ibraah kukaa kimya wa muda mrefu bila kuachia ngoma sasa rasmi anatarajia kurudi mjini tarehe 15, akiwa na wimbo mpya utaoenda kwa jina la &...
09
Jabulant adai kilicho muachisha kazi kwa Konde ni maslahi
Aliyekuwa mpiga picha wa Harmonize, Jabulant ameweka wazi kuwa hajaacha kufanyakazi na Konde Gang ili azungumziwe kwenye mitandao bali aliacha kazi na nyota huyo wa muziki kwa...
23
Anjella aeleza magumu yaliomkuta baada ya kuondoka Konde Gang
Mwanadada ambae anatamba kupitia nyimbo yake ya Blessing, Anjella amefunguka mazito ambayo yalimpata baada ya kuondoka katika Lebo ya msanii mkubwa Tanzania, Harmonize ya Kond...
02
Anjella amefunguka sababu ya ukimya wake
Kumekuwa na minong’ono mingi kuhusiana na mwanamuziki wa bongo fleva Anjella kuwa kimya kwa muda mrefu bila kutoa nyimbo, mwanadada huyo ameeleza sababu ya ukumya wake b...
03
Anjella, sina mpango wa kuondoka Konde Gang
Ooooyeah niaje wanangu wa mwananchiscoop bwana weeee wakati wambea wanatamani kusikia mwanadada anjella kutaka kuondoka huku first lady huyo kutoka label ya Konde Gang amefung...

Latest Post