10
Shakira kutumbuiza fainali ya Copa America 2024
Mwanamuziki mkongwe wa Colombia, Shakira amethibitishwa kutumbuiza kwenye fainali ya Copa America 2024, siku ya Jumapili inayotarajiwa kuhudhuriwa na mashabiki 54,000. Kwa muj...
05
Fainali kombe la dunia 2026, Kufanyikia New Jersey
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa fainali ya Kombe la Dunia la 2026 itafanyika kwenye Uwanja wa #MetLife  unaochukua mashabiki 82,500 katika mji wa East ...
09
Mkongwe wa soka afariki dunia
Mkongwe wa soka nchini Ujerumani Franz Beckenbauer mwenye umri wa miaka 78 anayetambulika kama moja ya wachezaji bora kuwahi kutokea nchini humo, amefariki dunia. Franz aliwah...
31
Panya avamia uwanja wa Man City
Kwenye mchezo kati ya ‘klabu’ ya #ManchesterCity na ‘klabu’ ya #Sheffield jana Jumamosi, panya mmoja aliingia uwanjani (eneo la kuchezea) na kusimamish...
22
Kipa wa jana Stars atoa neno
Baada ya Timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa wageni wao Morocco ‘mechi’ ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 iliyopigwa jana Uw...
21
Jezi sita za Messi kuuzwa bilioni 25
‘Jezi’ sita alizozivaa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi katika kombe la dunia akiwa na ‘timu’ yake ya Taifa ya Argentin...
15
Cr7 kushiriki kombe la dunia uarabuni
Inadaiwa kuwa ‘klabu’ ya #AlNassrFC ya #SaudiArabia imefanya mazungumzo na nyota wa #Ureno, #CristianoRonaldo juu ya nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kusalia ...
31
Saudi Arabia kuandaa kombe la dunia 2034
Imeripotiwa kuwa nchini #SaudiArabia, wataandaa Kombe la Dunia la 2034, baada ya #Australia kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuandaa mashindano hayo. Inaelezwa kuwa nchi hi...
22
Messi adai PSG haikumpa heshima anayo stahili
Nyota wa ‘klabu’ ya Inter Miami, Messi amefunguka na kueleza kuwa ‘timu’ aliyokuwa akiichzea hapo awali ya PSG haikumpa heshima baada ya yeye kushinda ...
12
Pogba afichua alivyotaka kustaafu mpira
Gwiji wa mpira duniani ambaye ni kiungo wa ‘klabu’ ya Juventus, Paul Pogba amekiri kuwa alifikiria kustaafu ‘soka’ kufuatia madai ya unyang’anyi ...
09
Inter Miami ya Messi
‘Klabu’ ya Inter Miami kutoka nchini Marekani imeendelea kuongeza wafuasi kwenye mitandao ya kijamii kila uchwao baada ya kumsajili mchezaji aliyeshinda Kombe la D...
18
Malkia Letizia ndani ya ‘fainali’ kombe la dunia la wanawake
Malkia Letizia kutoka nchini Hispania anatarajia kusafiri kuelekea Austaria kwa ajili ya kutizama ‘mechi’ ya fainali z...
11
UN yaitaka FIFA kutoa malipo sawa, wachezaji wa kike na wakiume
Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) limeshauri Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kuhakikisha linatoa malipo sawa ya fedha na tuzo kwa wanawake , kama ilivyo kwa wanaume...
31
Mchezaji wa kwanza kuvaa hijabu kombe la Dunia
Nouhaila Benzina beki kutokea nchini Morocco mwenye umri wa miaka 25 ameweka historia kwa kuwa mchezaji wa kwanza kuvaa hijabu  kwenye michuano ya Kombe la Dunia la Wanaw...

Latest Post