27
Alicia Keys akionesha tuzo zake
Mwanamuziki kutoka Marekani Alicia Keys, akionesha chumba maalumu ambacho ametunza tuzo zake mbalimbali alizopata kutokana na kazi yake ya muziki.Keys alianza kujihusisha na k...
18
Barcelona yamnyatia Dani Olmo
Uongozi wa #Barcelona tayari umeanza kufanya mazungumzo na ‘klabu’ ya #RBLeipzig kwa ajili ya kumchukua mchezaji wa ‘timu’ hiyo #DaniOlmo. Kiungo huyo ...
26
Diddy bado yupo Marekani
Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
31
Rick Ross aonesha jeuri ya pesa
Ni wiki kadhaa tuu zimepita tangu ‘rapa’ #RickRoss kuweka wazi kutaka kujenga mjengo chini ya ardhi, na sasa ameendelea kuonesha jeuri ya pesa kwa kubomoa nyumba y...
07
Diamond akabidhiwa muongozo wa maadili
Baada ya msanii Diamond Platnumz kushinda Tuzo ya MTV EMA 2023 alitembelea katika ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na kukabidhiwa muongozo wa maadili katika kazi za San...
02
Simba yakemea waliompiga shabiki wa Yanga
‘Klabu’ ya #Simba imekemea vikali na kusikitishwa na tukio ambalo lilisambaa katika mitandao ya kijamii kupitia video ikionesha baada ya mchezo wa Simba Vs Ihefu, ...
31
Maxi apewa gari
Ma-bosi wa ‘klabu’ ya #Yanga wamempa zawadi ya gari mchezaji #MaxiNzengeli mara baada ya ‘kiungo’ huyo kupiga mabao 2-0 dhidi ya Singida Big Stars kwa ...
09
Vinicius atoa heshima kwa kuvaa kidani chenye picha ya Cr7
Cristiano Ronaldo ameendelea kupokea heshima utoka kwa watu na ‘vilabu’ mbalimbali, awamu hii mchezaji wa #RealMadrid, mwenye namba saba mgongoni Vinicius Junior, ...
27
TWALHAT KIONE: Mhitimu alieamua kuwa mtengenezaji wa picha mbao na graphics designing
Hellow! Nyie nyie mwezi huu si wawanawake bwana nimeamua kuwasogezea mabinti ambao wanajituma wanachakarika kiufupi tunaweza waita...
20
Twalhat Kione, Graphic Desginer anayeamini kwenye kujaribu
  Na Aisha Lungato Mambo vipi! Natumai uko powa mtu wangu wa nguvu, ni jumanne na siku kama ya leo tunakuletea makala kuhusu biashara kwa vijana walio vyuoni. Tunawaangaz...

Latest Post