25
Meneja akanusha taarifa ya bondia Deontay Wilder kustaafu
Bondia Deontay Wilder bado ameendelea kuwa kimya juu ya hatma yake kwenye masumbwi tangu alipoahidi endapo atachapwa na Zhilei Zhang, nchini Saudi Arabia, atastaafu. Wilder al...
14
Trey aikwepa kesi ya unyanyasaji wa Kingono
Imeripotiwa kuwa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #TreySongz amemalizana na kesi yake ya unyanyasaji wa kingono ambayo ilifunguliwa February mwaka 2016. Kwa mujibu wa Daily...
21
Mzava ajibu tuhuma za kumtapeli Kayumba sh 7 milioni
Muongozaji video, Erick Mzava amekanusha madai ya kumtapeli mwanamuzi Kayumba akisema amesharudisha sehemu ya fedha kiasi cha Shilingi 7 milioni ambazo alipewa kwa ajili ya ku...
09
Utafiti: Kumchunga sana mtoto kunampunguzia muda wa kuishi
Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Shirikisho cha São Carlos na Chuo Kikuu cha London, kwa watu 1,000 waliozaliwa katika miaka ya 1950 na 1960, umegungua kuwa tabia y...
09
Wabunge kumchangia Professor Jay
Wabunge waonesha nia ya kutaka kumsaidia aliyewahi kuwa Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, Josep...
24
Jay Z amaliza utata wa swali alilolitoa
Baada ya kuuliza swali kwa mashabiki kuwa kupata chakula cha usiku na Jay Z au akupe dola 500 ambayo ni sawa na zaidi ya billion 1 za kitanzania, utachaguwa nini, Jay amemaliz...
18
Jinsi ya kupika Egg chops
Kwenye biashara wiki hii kama kawaida yetu nimekusogozea kitafunwa ambacho wengi wetu hukipendelea kunywa na soda ama juice, ukinywa na chai pia siyo mbaya ila havinogi udugu ...
16
Penzi la Justin Bieber na Hailey bado lina nguvu
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Justin Bieber amethibitisha kuwa mapenzi yake na Hailey hayajafa, huku akiamua kujitoa kumsaidia mpenzi wake katika kazi zake za sanaa. Kwa ...
17
Manchester City wapigwa marufuku kusheherekea ushindi
‘Winga’ wa #ManchesterCity Jack Grealish ameeleza kuwa ‘kocha’ wao Pep Guardiola amewapiga marufuku wachezaji wake kusheherekea ushindi wao kupita kias...
24
Davido amzawadia milioni 24 mfanyakazi wa hoteli
Msanii kutoka nchini Nigeria #Davido amzawadia shilingi milioni 24 za kitanzania, mwanadada Kekwaru ngozi Mary, ambaye ni mfanyakazi wa hoteli iliyoko  Logos, baada ya mr...
24
Ajikuta amezikwa baada ya kulewa kupita kiasi
Jamani jamani mkiambiwa pombe sio chai muelewe basi bwana katika mitandao ya kijamii ya amerika kusini baada ya kijana mmoja kueleza kuwa alizikwa akiwa hai baada ya kulewa po...
16
Kupenda kupita kiasi ni tatizo la Homoni sehemu ya pili
Inaendelea kutoka wiki iliyopita… Inaanzaje? Watu wawili hupendana. Kama nilivyosema, kupendana huku husababisha homoni hii kuzalishwa ubongoni. Kuzalishwa kwa kemikali...
08
Kupenda kupita kiasi ni tatizo la homoni
Tunajiuliza siku zote ni kwa nini penzi linapoingia mahali huweza kuharibu kila kitu? Tumekuwa na misemo yetu ya siku nyingi kama siyo ya asili, kama vile ule wa ‘penzi ...
02
Mahusiano:Kupenda kupita kiasi ni tatizo la homoni
  Tunajiuliza siku zote ni kwa nini penzi linapoingia mahali huweza kuharibu kila kitu? Tumekuwa na misemo yetu ya siku nyingi kama siyo ya asili, kama vile ule wa &lsquo...

Latest Post