14
Video Ya Diddy Akimshambulia Cassie Ilieditiwa
Mwanasheria wa Cassie Ventura, Douglas Wigdor amefunguka kuwa hapokei visingizio vyovyote kutoka kwa Diddy, baada ya kudaiwa kwamba video ikimuonesha akimshambulia mteja wake ...
13
Aliyemshtaki Jay-Z Adai Kushinikizwa Na Wakili
Baada ya rapa Jay Z kufutiwa kesi iliyokuwa ikimkabili na Diddy wakishtumiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 13 mwaka 2000 kwenye tuzo za video za muziki MTV Award, Mwanamk...
13
Bongofleva Imeanzia Ilala, Waasisi Wake Ni Hawa
Ikiwa leo ni Alhamisi, kwenye 'Tbt', tukumbushane chimbuko la muziki wa Bongofleva ambalo limekuwa likizua mijadala mara kwa mara.Muziki huo ulianza mwanzoni mwa miaka ya 1990...
12
Kajala Katika Mafanikio Ya Mb Dogg
Hakuna ubishi kuwa MB Dogg ni miongoni mwa wasanii wachache wa Bongofleva ambao muziki wao ulitikisa vilivyo, ngoma zake zililia sana mitaani na kutawala chati karibia zote za...
11
Baba Yake Jay Z Alivyoikimbia Familia
Mkali wa hip-hop, Jay-Z amekuwa akiweka wazi kuhusu maisha yake ya awali na uhusiano wake na baba yake, Adnis Reeves ambaye aliikimbia familia. Katika mahojiano aliyofanya hiv...
07
Mwakinyo Ashikiliwa Na Polisi, Sababu Yatajwa
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini na bingwa wa mkanda wa WBO Afrika katika uzani wa middle, Hassan Mwakinyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga akituhumiwa kum-shamb...
07
Platform Akiri Kupata Matatizo Ya Afya Ya Akili, Ataja Sababu
Ikiwa ni miaka minne tangu kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva kumpokea msanii Platform na kumthibisha kama moja ya bidhaa bora kwenye soko la muziki.Msanii huyo ameiamba Mwanan...
06
Kolabo Ya Rayvanny Na Maluma Ilikuwa Hivi
Mkali wa Bongo Fleva ambaye ameendelea kuupeleka muziki huo Kimataifa Rayvanny amefichua alivyofanikiwa kumshawishi Maluma kufanya naye kolabo ya wimbo wa ‘Mama Tetema&r...
06
Rushwa Ya Ngono Ilivyomnyima Tuzo Yemi Alade
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Yemi Alade amefunguka kuwa amekosa tuzo nyingi kutokana na kukataa kutoa rushwa ya ngono.Wakati alipokuwa kwenye moja ya mahojiano yake Yemi ...
27
Rais Samia: Nilipowateua Nikki Na Mwana Fa Watu Hawakunielewa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa uteuzi wa wasanii Hamis Mwinjuma (Mwana FA) na Nickson Simon (Nikki wa Pili) katika nafasi za uongoz...
27
Lugha Ya Kigogo Ilivyogeuka Mtaji Kwa Ndugu Hawa
Wakati baadhi ya watu wakificha makabila yao kwa kuhofia aibu zinazotokana na utani wa makabila. Ndugu wawili Leah Ndahani na Pendo Hukwe wao wameamua kutumia lugha ya kabila ...
22
Video Ya Why Imegharimu Sh 56 Milioni
King Bad, Marioo ametusanua kwamba Video ya wimbo wa ‘Why’ kutoka kwenye album yake ya ‘The Godson’ imeghalimu zaidi ya Sh 56 milioni mpaka kukamilika ...
22
Wakili Wa Diddy Ajiondoa Kwenye Kesi
Timu ya wanasheria wa Diddy inaonekana kuelemewa na kesi za shirikisho huku mmoja wa mawakili wake wa utetezi amepanga kujiondoa haraka katika kesi hizo.Kulingana na ‘Th...
21
Mfahamu Mwanamke Mwenye Akili Zaidi Duniani
Marilyn vos Savant (78) mwandishi na mtaalamu wa kujibu maswali kwa ufasaha kutoka Marekani anatajwa kuwa ndiye mwanamke mwenye akili zaidi duniani kutokana na uwezo wake wa k...

Latest Post