Video fupi ya marehemu mwanamuziki Michael Jackson (MJ) kutoka Marekani iitwayo ‘Thriller’ imefikisha watazamaji (views) bilioni 1 katika mtandao wa YouTube.Filamu...
‘Rapa’ 50 Cent anadai kuwa msanii Kendrick Lamar, amestahili kuchaguliwa kuongoza show ya Super Bowl Halftime inayotarajiwa kufanyika Februari mwaka 2025 jijini Ne...
Mwanamuziki wa Afrika Kusini, Khulekani Nxumalo 'Pcee' anayetamba na ngoma ya 'Kilimanjaro', amesema wakati anatoa wimbo huo hakuwa anamaanisha mlima uliopo Tanzania badala ya...
Baada ya miezi tisa baharini, meli kubwa zaidi duniani iitwayo ‘Royal Caribbean’s Icon of the Seas’ imemaliza safari yake huku ikitarajiwa kurejea Miami siku...
Baada ya kusambaa kwa picha za mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista zikimuonesha kapungua mwili tofauti na alivyokuwa awali, hatimaye mwigizaji huyo amefichua sababu za ku...
Katika Tuzo za MTV VMAs 2024 zilizotolewa jana Septemba 12 wanamuziki Taylor Swift na Post Malone waliibuka kidedea kwa kuondoka na tuzo nyingi zaidi huku‘kolabo’ ...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Marioo amefunguka ishu ya kufunga ndoa na mzazi mwenzie Paula Kajala, kwa kuweka wazi kuwafanya hivyo hivi karibuni kwani Paula amekubali kubadili d...
Mwanamuziki wa Dansi nchini Charles Gabriel Mbwana 'Chaz Baba' amefunguka kuwa jina analotumia sasa ambalo watu wanalitambua alipewa na aliyewahi kuwa mwanamuziki nyota wa dan...
Mwanamuziki na mfanyabiashara Selena Gomez ametajwa kuingia katika orodha ya mabilionea ambapo utajiri wao unatokana na juhudi za kibiashara.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ...
Mchezaji wa zamani wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Alan Shearer amesema kocha wa Manchester United, Erik ten Hag ana michezo miwili pekee ya kuokoa kibarua ch...
Kati ya filamu za animation zilizojizolea umaarufu duniani ni Tom na Jerry iliyoanzishwa na mchoraji wa vibonzo William Hanna, raia wa Marekani aliyesomea uandishi wa habari k...