29
Diamond Mbana pua mwenye damu ya Hip Hop
RAMADHAN ELIAS KOLABO la Diamond Putnumz na Mr Blue ndio habari ya mjini kwa sasa. Wimbo ni 'Mapozi' humo ndani akiwemo pia Jay Melody. Inabamba kinoma huko kitaa. Gemu ya Hip...
25
Fid Q: Mtoto wangu ndiyo sababu ya kuwa baba bora
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini FID Q kupitia ukurasa wake wa #Instagram ame-share picha akiwa na binti yake na kudai kuwa mtoto huyo anayeitwa Fidelia alimtoa kwenye hali ya ku...
20
Uwezo wa Shilole kwenye muziki wa Hip-hop
Mwanamuziki wa #BongoFleva Shilole anadai kuwa anaweza kuchana huku akikumbushia wimbo wake ambao alimshirikisha msanii mkongwe Chidi Beenz uliyotoka miaka minne iliyopita &ls...
12
Harmonize achagua upande wa Lunya
Nyie nyieee!! Mambo yanaenda kasi kwa muziki wa Bongo Hip Hop ni baada ya Young killer Msodokii kumjibu Young Lunya kupitia Freestyle Session 6 na kushika kasi kwa ufuatiliwaj...
27
Izzo B amewataka wasanii kufanya muziki bora sio kiki
Ebanaee!! Mambo ni mengi muda mchache wanetu basi bwana tasnia ya muziki huu wa kizazi kipya (Bongo fleva) kumekuwa na mtindo ili msanii atoke au afanikiwe basi afanye jambo k...
22
Madee atangaza kuacha muziki
Mwanamuziki mkongwe wa Hip Hop, Hamadi Ally Seneda maarufu kama Madeeali ametangaza rasmi kuachana na muziki baada ya kuufanya kwa miaka 20. Kupitia mitandao yake ya kijamii m...
29
Wakali wa Hip Hop kutoka chuo cha Udom
Unaambiwa siku zote bwana Nabii hakubaliki kwao  hahaha aisee huu msemo bwana unaniachagahoi sana lakini leo nakuletea Nabii ambaye ankubalika na watu wanamuelewa kinyama...
10
Rapa chipukizi Stylee( NIT)
It’s  Friday bhana kama kawaida siku hii huwa tunaruka na zile makala zote za michezo na burudani hususani kwa wasanii chipukizi kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini....

Latest Post