Mwanamuziki na Muigizaji kutoka nchini Marekani, Janet Jackson usiku wakuamkia leo Mei 27, 2025, ametunukiwa tuzo ya heshima ‘Icon Award’ katika hafla ya utoaji wa...
Usiku wa kuamkia leo Mei 27, 2025, limefanyika tukio la ugawaji wa tuzo za American Music Award's (AMA) huko Fontainebleau, Las Vegas huku tukio hilo likishereheshwa na m...
Mashabiki na wadau wa burudani kutoka India wameonesha upendo mkubwa kwa mtengeneza maudhui maarufu Bongo, Kili Paul baada ya kutua nchini humo. hii ni baada ya Kill kuonekana...
Tazama maandalizi kuelekea sherehe ya Jux na mke wake Priscilla inayotarajiwa kufanyika kesho Mei 28,2025 katika ukumbi wa Warehouse jijini Dar es Salaam.Utakumbuka kuwa baada...
Wakati mashahidi wakiendelea kutoa ushahidi kwa nyakati tofauti, timu ya wanasheria wa Diddy imeripotiwa kutaka kuondoa ushahidi wa Rapa Kid Cudi kwa madai ya kuwa ushahidi hu...
Ukimfunika kukaba, atakufunika kwenye kufunga. Ukimfunika kwa chenga, atakutesa kwa mishuti. Akiwepo uwanjani anakupa meza na maji ya kunawa. Anakuwekea chakula na kitanda ana...
Msanii wa Bongofleva Joslin ni miongoni mwa wasanii watatu waliounda kundi la Wakali Kwanza akiwa na wenzake Q Jay na Makamua huku MJ Records wakitoa kazi zao nyingi hapo...
Oya! kuna siku nilikuwa nimefulia vibaya sana. Kila nikiangalia pale ninapoweka vichenji vyangu kweupe kabisa hakuna kitu. Nilipotulia vizuri nikaanza kukumbuka majina ya watu...
Filamu kuhusu maisha ya aliyekuwa Mfalme wa Pop wa Marekani, Michael Jackson, iitwayo ‘Michael’, imeripotiwa kuwa haitatolewa mwaka huu kama ilivyotangazwa awali, ...
Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi uliyofanywa na Dr. Bodo Winter, mtaalamu wa isimu ya utambuzi kutoka Chuo Kikuu cha Birmingham, unaeleza kuwa jina Sophia (au Sofia) linataj...
Jamie Foxx, mwigizaji na mchekeshaji kutoka Marekani amekanusha vikali uvumi na madai ya kuwa mwanamuziki Sean “Diddy” Combs alijaribu kumuua mwaka 2023.Jamie amek...
Baada mfanyabishara Kim Kardashian kutoa ushahidi katika mahakama jijini Paris kuhusiana tukio la kuvamiwa na majambazi kwenye moja ya hoteli nchini Ufaransa, hatimaye Kim ame...
Mfanyabiashara maarufu Marekani, Kim Kardashian amehitimu rasmi masomo yake ya sheria katika levo ya ‘Law Office Study Program (LOSP)’ levo ambayo ni njia mbadala ...
Msanii wa muziki wa hiphop nchini, Rapcha ambaye kwa sasa anatamba na Mixtape yake mpya ya ‘Usichukue Sifa za Mungu’ iliyotoka Aprili 25,2025, ameelezea namna amba...