18
Cr7 ashinda kesi dhidi ya Juventus
Nyota wa soka duniani #CristianoRonaldo ameshinda kesi ya madai ya mshahara dhidi ya klabu yake ya zamani ya #Juventus. Klabu hiyo inatakiwa kumlipa CR7 kiasi Sh26.9 bilioni k...
11
Jason Derulo anaamini Diddy hana hatia
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jason Derulo amkingia kifua mkali wa Hip-hop Diddy kwa kudai kuwa mwanamuziki huyo hana hatia. Derulo ameyasema hayo wakati alipokuwa akipig...
03
Mtoto wa Diddy ayakanyaga
Mtoto wa mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, King Combs anatarajiwa kufunguliwa mashitaka dhidi ya unyanyasaji wa kingono. Kwa mujibu wa tovuti ya Vibe imeeleza kuw...
08
Mashabiki wa Nigeria wafanya utani waimba Water ya Tyla
Baada ya ‘timu’ ya taifa ya Nigeria kuifunga Afrika Kusini na kutinga katika Fainali za #AFCON mashabiki wa ‘Super Eagles’ wameonesha utani wao kwa kui...
04
Mastaa Chelsea wajiondoa kwenye mtandao wa X
Wachezaji wa ‘klabu’ ya #Chelsea,  #MoisesCaicedo na #EnzoFernandez wamefuta akaunti zao za  X (Twitter) baada ya kupokea jumbe nyingi zilizokuwa na kaul...
16
Kupiga picha wahanga wa ajali faini milioni 100
Nchini Dubai ukipiga picha watu waliojeruhiwa au miili ya watu waliofariki katika ajali ni kosa linaloweza kusababisha kifungo cha miezi sita jela na faini ya tsh 100 milioni,...
10
Davido kuchunguzwa
Jeshi la Polisi nchini Nigeria limeanza uchunguzi dhidi ya mkali wa #AfroBeats, Davido ambaye anatuhumiwa kumpa vitisho na kmufanyia ukatili wa kimwili, msanii mwenzie #TiwaSa...
26
Kanye awaomba radhi Wayahudi
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #KanyeWest ametoka hadharani na kuiomba radhi jamii ya Wayahudi kufuatia na maneno na vitendo vyake vilivyozua chuki kwa jamii hiyo....
10
Robo fainali ya Simba ipo hapa
Baada ya ‘klabu’ ya Simba kupoteza point mbele ya ‘klabu’ ya #WydadCasablanca jana nchini Morocco kwa bao 1-0, sasa ‘klabu hiyo inahitaji kushind...
30
‘Kipa’ Kelleher kuvaa viatu vya Becker
Kocha wa ‘klabu’ ya #Liverpool #JurgenKlopp amethibitisha kukosekana kwa mlinda mlango #AllisonBecker kwa wiki kadhaa baada ya kupata jeraha la misuli ya paja kati...
31
Vinicius ashinda tuzo dhidi ya ubaguzi wa rangi
Mchezaji wa ‘klabu’ ya wa #RealMadrid, #ViniciusJunior ametwaa tuzo ya Socrates kwa mapambano yake dhidi ya ubaguzi wa rangi pamoja na mchango wake wa hisani kwa j...
26
Mkude aishitaki METL
Mchezaji wa ‘Klabu’ ya Yanga, Jonas Mkude amefungua ‘kesi’ katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai ‘Kampuni’ ya Mohamed Enterpri...
23
Mashabiki wasusia tamasha, Baada ya mchekeshaji kuongelea vita ya Islael, Palestina
Mchekeshaji kutoka nchini #Marekani, #DaveChappelle amejikuta akiwafukuza mashabiki walio hudhuria katika tamasha lake la vichekes...
18
Rais Samia kununua kila goli mechi ya simba dhidi ya al ahly
Ikiwa imebaki siku moja kwa ‘klabu’ ya Simba kuingia dimbani kukipiga na Al Ahly katika michuano ya AFL, Rais Samia ameendeleza pale alipoishia ambapo ameweka wazi...

Latest Post