Nyota wa soka duniani #CristianoRonaldo ameshinda kesi ya madai ya mshahara dhidi ya klabu yake ya zamani ya #Juventus.
Klabu hiyo inatakiwa kumlipa CR7 kiasi Sh26.9 bilioni k...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jason Derulo amkingia kifua mkali wa Hip-hop Diddy kwa kudai kuwa mwanamuziki huyo hana hatia.
Derulo ameyasema hayo wakati alipokuwa akipig...
Mtoto wa mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, King Combs anatarajiwa kufunguliwa mashitaka dhidi ya unyanyasaji wa kingono.
Kwa mujibu wa tovuti ya Vibe imeeleza kuw...
Baada ya ‘timu’ ya taifa ya Nigeria kuifunga Afrika Kusini na kutinga katika Fainali za #AFCON mashabiki wa ‘Super Eagles’ wameonesha utani wao kwa kui...
Wachezaji wa ‘klabu’ ya #Chelsea, #MoisesCaicedo na #EnzoFernandez wamefuta akaunti zao za X (Twitter) baada ya kupokea jumbe nyingi zilizokuwa na kaul...
Nchini Dubai ukipiga picha watu waliojeruhiwa au miili ya watu waliofariki katika ajali ni kosa linaloweza kusababisha kifungo cha miezi sita jela na faini ya tsh 100 milioni,...
Jeshi la Polisi nchini Nigeria limeanza uchunguzi dhidi ya mkali wa #AfroBeats, Davido ambaye anatuhumiwa kumpa vitisho na kmufanyia ukatili wa kimwili, msanii mwenzie #TiwaSa...
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #KanyeWest ametoka hadharani na kuiomba radhi jamii ya Wayahudi kufuatia na maneno na vitendo vyake vilivyozua chuki kwa jamii hiyo....
Kocha wa ‘klabu’ ya #Liverpool #JurgenKlopp amethibitisha kukosekana kwa mlinda mlango #AllisonBecker kwa wiki kadhaa baada ya kupata jeraha la misuli ya paja kati...
Mchezaji wa ‘klabu’ ya wa #RealMadrid, #ViniciusJunior ametwaa tuzo ya Socrates kwa mapambano yake dhidi ya ubaguzi wa rangi pamoja na mchango wake wa hisani kwa j...
Ikiwa imebaki siku moja kwa ‘klabu’ ya Simba kuingia dimbani kukipiga na Al Ahly katika michuano ya AFL, Rais Samia ameendeleza pale alipoishia ambapo ameweka wazi...