16
Mfahamu mwanamke aliyetumia nguo ya ndani moja hadi kifo
Waswahili wanasema ‘Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni’ msemo huu unatupeleka moja kwa moja kwa mwanamama Hetty Green, mwanamke ambaye ameishi akivaa nguo ya...
12
Khalid Chokoraa: Muziki wa dansi una unafiki mwingi
Mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Khalid Chuma 'Chokoraa' amesema, ndani ya muziki huo kuna unafiki mwingi kitu kinachokwamisha kuwapo kwa ushirikiano wa kuupeleka mbele zaid...
08
Chidimma ajiondoa kwenye mashindano ya Miss S.A
Baada ya kuzuka tetesi kuwa mwanamitindo Chidimma Adetshina (23) anayeshiriki ‘Miss Afrika Kusini’ kubaguliwa kwenye shindano, kwa madai ya kuwa ni raia wa Nigeria...
07
Baby Shark Dance ndiyo wimbo unaongoza kwa watazamaji YouTube
Katika enzi hizi za kidijitali ambazo mitandao ya kijamii na majukwaa ya video yanachangia kwa kiasi kuburudisha jamii na kufurahia muziki, wimbo wa watoto "Baby Shark Dance" ...
06
Rapa T.I aponea kwenye tundu la sindano
Mwananmuziki kutoka Marekani Clifford Joseph Harris ‘T.I’ alikamatwa na polisi katika uwanja wa Ndege wa Atlanta ‘Hartsfield-Jackson’ baada ya utambuli...
02
Tiffany Haddish: niliwahi kuuza nguo zangu za ndani ili nipate maokoto
Mwigizaji na mchekeshaji kutoka Marekani Tiffany Haddish amefichua kwamba wakati alipokuwa anajitafuta aliwahi kutangaza kuuza ngu...
01
Hatimaye Vybz Kartel aachiwa huru, washabiki wajitokeza gerezani kumpokea
Leo unaweza kuiita sikukuu kwa wapenzi wa muziki wa ‘Dancehall’ ambao kwa asili unatokea Nchi ya Jamaica, ambapo mkali...
01
Mashabiki Sudani Kusini walivyofuatilia mchezo dhidi ya USA, Olimpiki 2024
Mashabiki wa michezo Sudan Kusini usuku wa kuamkia leo walikusanyika katika eneo moja kwa ajili ya kufuatilia mchezo wa Mpira wa K...
15
Teknolojia ilivyorahisisha mambo kwenye Burudani
Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia imekuwa na mchango mkubwa katika sekta ya burudani. Kuanzia muziki, filamu, michezo, hadi sanaa nyingine kama vile uchoraji, teknoloj...
13
Mfumo unamgharimu kuwika kimataifa
Wameingia kwenye mfumo!. Ni kauli aliyoitoa staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz baada ya wimbo wake ‘Komasava’ kubamba sehemu nyingi duniani ikiwemo Nigeria ambap...
12
Shindano la kumpata mtu muongo zaidi duniani
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, wakati baadhi ya watu wakikemea vikali tabia ya kusema uongo, fahamu kuwa kila mwaka ifikapo Novemba, katika mji wa Santon, Uingereza,...
11
Lady Gaga alivyotinga vazi lililotengenezwa kwa nyama
Ubunifu ni kati ya kitu muhimu kwa wasanii kama njia ya kuwapa utambulisho na kuwafanya waendelee kujitengenezea utofauti. Ili kuwa na utofauti wapo waliowekeza ubunifu kwenye...
07
Mrs Energy awahamishia upepo mashabiki wake
Na Aisha Charles Safari moja huanzisha nyingine, ndivyo ilivyo kwa mchezaji dansi Set Fibby, maarufu kama Mrs Energy, baada ya kuamua kujikita katika muziki wa Bongo Fleva, ha...
30
Camila atamani Drake na Kendrick Lamar wamalize ugomvi
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #CamilaCabello ametamani #Drake na #KendrickLamar wamalize bifu lao ambapo amedai kuwa watu wamekuwa wakimsema vibaya Drake.Camila ameyasem...

Latest Post