23
Diddy anamchango wake kwenye mtandao wa X
Mkali wa Hip-hop Marekani Diddy ametajwa kuwa ni mmoja wa wawekezaji waliomsaidia Elon Musk kununua mtandao wa X (zamani twitter) mwaka 2022.Kwa mujibu wa tovuti ya Tmz imeele...
20
Diddy mbioni kufunguliwa kesi ya jinai
‘Rapa’ Sean “Diddy” Combs huenda akafunguliwa kesi ya jinai na mwanadada Adria English. Kwa mujibu wa timu ya wanasheria wa mwanadada huyo imedai kuwa ...
29
Miami Beach yafuta Sean Diddy Combs Day
Uongozi wa Miami Beach umeondoa siku maalumu ya ‘rapa’ Diddy ambayo ilizinduliwa kwa mara ya kwanza Oktoba 13, 2016, huku sababu ikitajwa ni kufuatia na video ya C...
21
Diddy afuta posti zote Instagram
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy Combs ameripotiwa kusafisha ukurasa wake wa Instagram kwa kufuta posti zote alizowahi ku-share kwenye mtandao huo ikiwemo video yake ya ...
08
Chuo chabatilisha shahada ya Diddy
Chuo Kikuu cha Howard kilichopo Washington, D.C siku ya jana Ijumaa Juni 7, 2024 kilitangaza kuwa bodi yake ya nidhamu imebatilisha shahada ya heshima aliyopewa mkali wa Hip h...
30
Mambo magumu kwa Diddy ashindwa kuhudhuria mahafali ya binti yake
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kuwa hatokuwepo kwenye mahafari ya binti yake itwaye Chance (17) huku wadau wakieleza kuwa hatohudhuria katika sherehe hiyo ...
25
Nyota ya Diddy ya Walk of Fame haitaondolewa
Baada ya kuandamwa na kesi za unyanyasaji wa kingono huku baadhi ya makampuni aliyokuwa akishirikiana nayo yakivunja mikataba, sasa wadau mbalimbali wanataka nyota ya mkali wa...
22
Diddy azidi kuyakanyaga, afunguliwa kesi nyingine
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy anakabiliwa na kesi nyingine ya unyanyasaji wa kingono ambayo imefunguliwa hivi karibuni na mwanamitindo wa zamani Crystal McKinney, tuk...
15
Ujumbe wa Diddy kwa mashabiki
Mkali wa Hip-hop kutoka nchini Marekani, Diddy Combs, ame-share ujumbe kwa mashabiki uliyokuwa ukieleza kuwa muda ndio utaongea ukweli wote. Diddy ame-share ujumbe huo kupitia...
06
Akon: Diddy anahitaji maombi
‘Rapa’ na mwigizaji kutoka nchini Marekani Akon amefunguka machache kuhusiana na sakata linalo mkabili mwanamuziki Diddy la kuhusishwa na biashara ya ngono huku ak...
06
Mtoto wa Diddy ashtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono
Mtoto wa Diddy, aitwaye King Combs (26) ameshtakiwa kwa kumnyanyasa kingono mwanamke aliyefahamika kwa jina la Grace O'Marcaigh, tukio lililotokea St Martin mwaka 2022.Kwa muj...
29
Kampuni zinazofanya kazi na Diddy kuchunguzwa
Wakati baadhi ya ma-staa mbalimbali wakihusishwa katika kesi ya mwanamuziki Diddy, na sasa imeripotiwa kuwa Mamlaka inayojihusisha na uchunguzi wa kesi hiyo inatarajia kufanya...

Latest Post