09
Atengeneza ndege inayofanya kazi kama baiskeli
Mwanafunzi mmoja aitwaye Fusha Sakai kutoka Chuo Kikuu cha Umma cha Osaka kilichopo nchini Japani, ameibua hisia za wengi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutengeneza na ku...
01
Mwanaume aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki
Baada ya mtu wa kwanza kufanyiwa upasuaji wa kupandikizwa moyo wa nguruwe mwaka jana na ‘timu’ ya madaktari kutoka Chuo Kikuu Maryland kufariki miezi miwili baada ...
18
Umuhimu wa matamasha ya sanaa kwa wanavyuo
Na Magreth BavumaMambo niaje wanangu ni wiki nyingine tena niwakaribishe kwenye kona yetu pendwa ya wanavyuo “unicorner” chimbo moja tu ambalo wanavyuo tunakutanis...
25
Mwanafunzi aliyemuua mama yake ili asijue kufukuwa kwake chuo, Ahukumiwa
Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mount Union, kilichopo Ohio, Sydney Powell, ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya ...
28
Mtoto wa miaka 14 apata ajira
Ebwana!! Kila uchwao mambo yanazidi kuwa mengi muda nao ni mchache haya sasa wakati mtoto wako wa miaka 14 anajiandaa kwenda Shule basi kuna mvulana wa miaka hiyo nchini Marek...
20
Usingizi wa mchana ni mzuri kwa ubongo wako
Watafiti kutoka chuo Kikuu cha London wanaeleza kuwa kupata muda wa kulala kidogo mara kwa mara ni vizuri kwa ubongo wetu na husaidia kuuweka ubongo kuwa mkubwa kwa muda mrefu...
19
Wanafunzi kutoka Sudan wawa gumzo mitandaoni
Hahahah! Kama kawaida bongo hatunaga jambo dogo, baada ya kutangazwa taarifa masaa machache yaliyopita kuhusiana na wanafunzi kutoka nchini Sudani kuhamishiwa Tanzania. Gumzo ...
16
Mahakama yaamuru mwanafunzi aliyefukuzwa kurudishwa chuoni
Baada ya kufukuzwa chuo kwa kosa la kufanyiwa mtihani na mwenzake, mwanafunzi washada ya kwanza ya sheria katika chuo cha Tumain Dar es salaam (TUDARCO) aliyefahamika kwa jina...
25
Wanafunzi 50 wafukuzwa chuo kwa udukuzi wa malipo ya ada.
Chuo Kikuu mkoani Iringa (UoI) kimewafukuza wanafunzi zaidi ya 50 wa shahada ya teknolojia ya habari (IT) baada ya kudukua mfumo wa malipo ya ada ambapo ilionekana wamelipa, n...
06
Chuo cha Denmark chahifadhi ubongo 10,000 wa binadamu
Na Asha Charles Ooooooh!! Hivi ulishawahi jiuliza kamba kuna sehemu wanaweza kuhifadhi ubongo wa binadamu ambao hawapo tena duniani, ila wazungu huko walipo fikiaa sio pouwa k...
05
DJCUPPY kuchangia million 292 kwa wanafunzi
Na Asha Charles Nyie nyie!!  Usiseme hatuna hela sema sina hela, basi bwana mwanadada Florence Ifeoluwa Otedola maarufu kama DJCUPPY kutoka nchini Nigeria ametangaza kuch...
13
Chuo kikuu Uganda chapiga marufuku kamera katika mahafali
Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda kimepiga marufuku wanaohudhuria sherehe za kuhitimu kubeba simu, kamera za video, kwa mujibu wa taarifa. Chuo hicho kitafanya sherehe leo...

Latest Post